Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Muda anaoutumia Teller kuperuse JF na kupost picha FB ni mrefu kuliko anaoutumia kuhudumia wateja watatu per day. Ila mzee Magu atakuja na plan B. Usishangae wafanyakazi wote wa Serikali pale Chattle wakapewa agizo na Mkurugenzi wafungue accounts pale na mishahara yao kila mwezi iwe inapitishiwa hapoWateja ni saba kwa siku, mateller wanashinda wakipiga story
Unachosema ni kweli kabis mkuu ila kitu ambacho hukifahamu ni kuwa kuna taratibu za ujumla zinazofanya mji kukua. Na moja ya hivyo vitu ni accessibility.. Ukikaa huko ndani unaweza ukafanikiwa kukua kama mji ila utakuwa kwa nguvu nyingi sana. Resource ambazo zitatumika kuijenga chato ikiwa zitawekwa Geita itakuwa Mara tatu zaidi..Mungu aniepushe na akili hizi za kichadema watu wanataka maendeleo lkn hawataki sehemu flani iyapate hayo maendeleo,
kwa mwenye kumbukumbu nzuri wakati rais akiwa kikwete msonga haikupaswa hata kupata barabara ya changalawe ukiuliza kisa ni kwao rais hivi rais akitoka kwenu ni laana? nakumbuka timbwili la bandari ya bagamoyo kisa tu ni kwao kikwete. leo ni chato itazongwa hiyo na siku akitoka madarakani kitakachotumika kujaji kama ni kiongozi bora au boya ni hali ya chato. ukisema rais magufuri alikuwa bora utaambiwa angekuwa bora chato ingekuwa duni vile? akiitengeneza nongwa.
binafsi sipingi marais kuimarisha makwao kwa mantiki kuwa yote hiyo ni tz. mfano nyerere angaimarisha musoma, mwinyi akaimarisha huko kwao sijui unguja, mkapa kwao, kikwete kwao, na jpm kwao means tungekuwa na vimiji kadhaa vyenye uchumi imara tofauti na sasa wote tunavyojazana dar.
chamsingi tu usiinyime sehemu yenye mahitaji ukapeleka kwenu hivi mfano kuna sehemu imenyimwa crdb ikapelekwa chato? kwetu ni kijiji tu lkn tuna nmb na atm za crdb nasikia nbc pia wapo kwenye mchakato sasa kwanini niisikilizie wivu chato kwa kupata crdb? ilihali hiyo yote ni tz?
Miji ni kama watu.. Wanakuwa.. Unadhani kwann serikali haikujrnga skyscrapers dar es salaam mwaka 1970?! Hatukuwa na uhitaji wakati huo!Mlitaka wana Chato wasipate chochote kile, why such hatred while it is within your own country? Kwani anayehudumiwa pale si mtanzania mwenzio? Katika hii dunia wewe unajua kesho yako iko wapi, je ukijikuta unatua pale Chato hiyo huduma si utaitumia au utaendelea kuhoji vitu vya ajabu ajabu?
Na mwisho, Chato si dar kwamba kila eneo unakuta wateja wa kutosha. However, the longer it takes the more the customers will come around.
Utaingia wewe na DJ.. Watu wanakunywa wanzuki waje club?!Nataka nikafungue night club chato mbona mnanikatisha tamaa
Utaingia wewe na DJ.. Watu wanakunywa wanzuki waje club?!
Kwa hiyo kama imetingishika umepata nini?Kwa maneno ya mitandaoni hata maandamano yametiingisha serikali.
Kimsingi sipingi hoja zako lkn natamani tuwe tunajadili kwa mfumo huu.Unachosema ni kweli kabis mkuu ila kitu ambacho hukifahamu ni kuwa kuna taratibu za ujumla zinazofanya mji kukua. Na moja ya hivyo vitu ni accessibility.. Ukikaa huko ndani unaweza ukafanikiwa kukua kama mji ila utakuwa kwa nguvu nyingi sana. Resource ambazo zitatumika kuijenga chato ikiwa zitawekwa Geita itakuwa Mara tatu zaidi..
Na kukua kwa miji kunaongeza development catchment area.. Mfano kwa accessibility ya dar na majirani zake.. Mkuranga mpaka rufiji na Kibaha mpaka Chalinze na morogoro.. Bagamoyo msata hats mpaka Handeni.. Zanzibar na pemba zote zina access huduma za dar.. Kwa sababu inafikika kirahisi na IPO kwenye uelekeo..
Chato imejificha sana.. Inaenda kinyume na mpango wetu Wa makao.makuu ya mikoa yakae wilaya za katikati.. Dodoma IPO katikati ya Tanzania, ukifuatilia makuu ya mikoa mingi yapo katikati ya mikoa kurahisisha ufikikaji. Kwa suala LA biashara chato inachangamoto.. Uzalishaji sio mkubwa.. Sio transit town.. Hats ukiifanya manufacturing hub bado itapokea ushindani kutoka katika miji iliyoko katika mabarabara makuu..
Kwa sababu miji iliyoko katika mtandao Wa Barbara kuu za kitaifa unacatchment area kubwa kwa maana ya rasilimali.. Usafiri ni cheap na options ni nyingi.. Viwanda katika maeneo haya vinaweza kusambaza bidhaa sehemu kubwa kwa gharama ndogo. Na vitapokea rasilimali nyingi kwa gharama ndogo maana vitafikika kirahisi.
Chato inaweza kukua kama tutaamua ku- suppress maendeleo ya competing towns.. Hiyo ndio njia pekee. Na hapo itaanza kuwa sio fair kwa watanzania wengine. Tusihadaike hakuna njia ya mkato na ukiiachwa umeachwa tu. Hats uhangaike vipi.
nimesema sijuiMwinyi kwao wapi umesema??
Akili zako ni kubwa sana mkuu.Jiulize hapo chato ilishakuepo bank yoyote kabla?? Je wananchi wana uelewa na masuala ya kuhifadhi pesa bank..?? Kumbuka hiyo ni biashara na ndio maana kuna bank officers kwa ajili ya kutoa elimu na kutafuta Wateja..we ulitegemea ifunguliwe tu kisha uone watu wanapishana??hizi akili za kupinga kila kitu IPO siku mtapinga hadi jinsia zenu
kinachonifurahisha ni kuwa inayojengwa ni tz na si kenya wala rwanda so pesa za watanzania zinarudi kwa watanzania. kingine tumempa dhamana ya kuendesha nchi na kwakusaidiana na wawakilishi wetu kuchagua ni wapi watawekeza kwa niaba yetu tuwaache waone wapi kunafaa wakichemka 2020 si mbali tutawaambia hamtufai mlitupa hasara sasa tunawapa wengine nao watuongoze hivyo tu lkn tukimzuia leo akichemka 2020 atasema nyie ndio mlinizuia ningewekeza kule pangelipa.Yaani kwa akili kama hii ,wakoloni warudi afrika ili watutawale vizuri, yaani unachukulia nchi kama vyumba vya wake wenza kwamba huyu akipewa bhasi na mwingine apate ili wasioneane wivu ...yaani masuala ya kitaifa unayajadili kwa kuangalia wivu !!!!!.......
wenzetu wanaangalia kidogo walichonacho wakiwekeze wapi penye fursa zaidi ya kuzalisha pesa ili wauimarishe uchumi wao na kuendeleza jamii zao ila sisi tupo busy kugawana maghorofa ili tusioneane wivu !!!!!!......
Endeleeni kufurahia ila nina uhakika wajukuu zenu wataisoma michango yenu kupitia jf hiihii na watapigwa na butwaa kwa jinsi mnavyozitumia akili zenu
2020 ilishapita mazee, sasa tunajenga hospitali ya KANDA Chato, baada ya kumaliza kujenga chuo cha ufundi stadi (VETA).kinachonifurahisha ni kuwa inayojengwa ni tz na si kenya wala rwanda so pesa za watanzania zinarudi kwa watanzania. kingine tumempa dhamana ya kuendesha nchi na kwakusaidiana na wawakilishi wetu kuchagua ni wapi watawekeza kwa niaba yetu tuwaache waone wapi kunafaa wakichemka 2020 si mbali tutawaambia hamtufai mlitupa hasara sasa tunawapa wengine nao watuongoze hivyo tu lkn tukimzuia leo akichemka 2020 atasema nyie ndio mlinizuia ningewekeza kule pangelipa.
Hatimaye yametimia, naskia bank kwasasa ni clubHii ndio habari iliyoko mtandaoni kwa sasa kuhusu lile tawi jipya liliofunguliwa hivi karibuni huko maeneno fulani ambapo japo mwanzo ni mgumu,lakini mwanzo huo unaonekana si dalili njema hata kidogo.
Maelezo yanayotolewa mtandaoni nashindwa hata kuyaamini kuhusu hilo tawi na kama madai kuhusu idadi ndogo sana ya wateja wanaofika katika tawi hilo ni ya kweli,basi ni wazi ule utafiti haukua utafuti bali ulikuwa utafuti jina tu.
Mtoa habari amewaambia waandishi wafike kujionea hali halisi.
kwa sasa najua tutajipa moyo kuwa tawi bado ni jipya ila uzuri ni kwamba hatuwezi kuendelea kujipa moyo iwapo hali kama hii itaendelea hata kwa miezi mitatu tu.
Anyway,labda tuwape muda.
Nawaza tu kama watu wataruhusiwa kupiga picha eneo hilo katika siku zijazo.
Hatimaye yametimia, naskia bank kwasasa ni club
Na ile intaneshno eapoti nasikia hivi sasa imegeuka sehemu ya ng'ombe kuota jua ili wapate vitamin DHatimaye yametimia, naskia bank kwasasa ni club
Sasa hivi imegeuzwa kuwa Chato ClubHii ndio habari iliyoko mtandaoni kwa sasa kuhusu lile tawi jipya liliofunguliwa hivi karibuni huko maeneno fulani ambapo japo mwanzo ni mgumu,lakini mwanzo huo unaonekana si dalili njema hata kidogo.
Maelezo yanayotolewa mtandaoni nashindwa hata kuyaamini kuhusu hilo tawi na kama madai kuhusu idadi ndogo sana ya wateja wanaofika katika tawi hilo ni ya kweli,basi ni wazi ule utafiti haukua utafuti bali ulikuwa utafuti jina tu.
Mtoa habari amewaambia waandishi wafike kujionea hali halisi.
kwa sasa najua tutajipa moyo kuwa tawi bado ni jipya ila uzuri ni kwamba hatuwezi kuendelea kujipa moyo iwapo hali kama hii itaendelea hata kwa miezi mitatu tu.
Anyway,labda tuwape muda.
Nawaza tu kama watu wataruhusiwa kupiga picha eneo hilo katika siku zijazo.
Sio kweli, Hilo jengo ni crdb zamani tokea 2009 na walikuwa wamepanga tuSasa hivi imegeuzwa kuwa Chato Club