Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Chini ya jemedari magufuliHahahah! Tanzania ya Viwonder bhana
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Kuna MTU ameajiriwa hapa amenitatanisha sana naomba tusaidiane kufatilia uhalisia wake
Anaitwa ABBDALLAH AHMED JIGWA
No yake ya Mtihani ni S2732-0091/2019
MTU huyu amehitimu shule ya sekondari MNADANI mwaka 2019
Haya ndo matokeo ya ana division four ya Point 31 na ufaulu wake wa masomo ni huu hapa;-
Civ F Hist D Geo F Kisw C Engl D Lit Eng F Bio F B/Math F
Leo amechaguliwa kwenda kufundisha Leo Leo Primary.
Maswali ya kujiuliza
1. Amesoma chuo kwa muda gani kama amehitimu kidato cha NNE 2019?
2. Amechukuliwaje kwenda kusoma chuoni ile hali ana Division Four ya pont 31?
3. Kama alianza kusoma chuoni akiwa hana cheti cha Form four aliruhusiwaje kusoma chuoni?
Tunaongozwa na wahuni.Tanzania sasa hivi kila kitu ni fojari.
I think umeelewaUnamaanisha nini mkuu
Ya korosho mkuuukifuatilia hata elimu za wakubwa nyingi ni fake tu. Jaribu kuchunguza uhalali wa phd ya maganda ya karanga ya mkubwa mmoja uone kama kweli alistahili
Ningeelewa nisingekuulizaI think umeelewa
Hivi mkiitwa nyumbu kwanini mnakataa?Ki ukweli Kuna haja waziri mkuu ajitokeze na kukemea madudu haya.
Raisi pitia haya majina ya tamisemi yakugushiwa
Toa tamko hizo ajira zifutwe ni uhuni wa kiwango cha hali ya
Wamezoea kudanganya danganya.Vyeti feki, chaguzi feki, ajira feki, demokrasia feki.
Mitano tena kwa jina la Yesu na la Muhammad
Wamezoea kudanganya danganya.
Hebu fikiri kama wanaweza kupika majina ya waajiriwa, hali inakuwaje kwenye fedha za umma!
Ni jinsi gani wanavyoiba na kufanya udanganyifu?
Ni kweli kuna madudu mengi kwenye hizi ajira, lakini kwenye jina la huyo msela inaweza kuwa ni makosa ya kiuandishi. Kwenye excel huwa kuna ile ya ku-command heading ya kwenye table itoke kwenye kila page, sasa huyu mwandishi atakuwa alijichanganya badala ya kuhighlight ile line ya kwanza yenye vichwa vya habari aka-highlight kwenye line ya pili. Hayo ndiyo yaliyotokea kwenye hilo jina kujirudia! Wataalam wa excel watanisaidia!Mkuu,
Unamacho na uko makini sana; ni kweli hilo jina limejirudia tena kila ukurasa mstari wa kwanza jina hilo ndio linaanza.
Matatizo ya watumishi ya kukopi na kupaste kwenye spreadsheet bila kutumia fomula ya hesabu sahihi ndio matokeo yake hayo.
Kwa mantiki hiyo jina hilo linakosesha haki ya walimu wenye sifa 195 hivyo kutoa mwanya wa rushwa kuchomeka mtu kisha orodha inarekebishwa.
TAMISEMI and Ministry of education must take drastic action to restore the rights of the qualified teachers.
MHK hiyoNimekutana na mtu kachaguliwa kufundisha sekondari masoma ya basic Mathematics History na Kiswahili.
Nimejiuliza huyu jamaa atakuwa amesoma kombi gani
Amesomea bhk[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekutana na mtu kachaguliwa kufundisha sekondari masoma ya basic Mathematics History na Kiswahili.
Nimejiuliza huyu jamaa atakuwa amesoma kombi gani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tatizo la hii nchi viongozi huona wananchi wote hawana akili Ila wao tu ndyo wanaaakili. Wanajua wakiweka serial numbers mtagundua mapema kama Walimu hawakufika 13000.
Wakiweka vyuo walivyosoma itakuwa rahisi kuwagundua kama wamepika majina[emoji1][emoji1][emoji1]. Kuhusu mtu kumaliza form four 2019 na kuajiriwa 2020 kama qualified mwalimu, hii najua Elon Musk anaweza kuielezea inawezekanaje????
Alipata alama reasonable awali two or three years back, akaresit 2019 ili aepuke ualimu, ndo kapata hiyo points 31. Kumbuka aliresit akiwa chuo at the zake time.Kuna MTU ameajiriwa hapa amenitatanisha sana naomba tusaidiane kufatilia uhalisia wake
Anaitwa ABBDALLAH AHMED JIGWA
No yake ya Mtihani ni S2732-0091/2019
MTU huyu amehitimu shule ya sekondari MNADANI mwaka 2019
Haya ndo matokeo ya ana division four ya Point 31 na ufaulu wake wa masomo ni huu hapa;-
Civ F Hist D Geo F Kisw C Engl D Lit Eng F Bio F B/Math F
Leo amechaguliwa kwenda kufundisha Leo Leo Primary.
Maswali ya kujiuliza
1. Amesoma chuo kwa muda gani kama amehitimu kidato cha NNE 2019?
2. Amechukuliwaje kwenda kusoma chuoni ile hali ana Division Four ya pont 31?
3. Kama alianza kusoma chuoni akiwa hana cheti cha Form four aliruhusiwaje kusoma chuoni?
Unaweza kukuta naye anasubiri kuwa Waziri.Eti upate kiongozi kama huyu.
Yaani hadi document inafika kwa katibu mkuu, anaitangaza lazima iwe imepitiwa na wakurugenzi, wakurugenzi wasaidizi, maafisa wakuu na waandamizi ina maana wote hawakuona hayo mapungufuHuyo aliechapisha nae ni binaadam ana mapungufu yake hivo pengine amekosea tu
MHK[emoji23][emoji23] hii comb ipo zimbabweNimekutana na mtu kachaguliwa kufundisha sekondari masoma ya basic Mathematics History na Kiswahili.
Nimejiuliza huyu jamaa atakuwa amesoma kombi gani