Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

Kuna MTU ameajiriwa hapa amenitatanisha sana naomba tusaidiane kufatilia uhalisia wake

Anaitwa ABBDALLAH AHMED JIGWA
No yake ya Mtihani ni S2732-0091/2019
MTU huyu amehitimu shule ya sekondari MNADANI mwaka 2019

Haya ndo matokeo ya ana division four ya Point 31 na ufaulu wake wa masomo ni huu hapa;-

Civ F Hist D Geo F Kisw C Engl D Lit Eng F Bio F B/Math F

Leo amechaguliwa kwenda kufundisha Leo Leo Primary.
Maswali ya kujiuliza

1. Amesoma chuo kwa muda gani kama amehitimu kidato cha NNE 2019?

2. Amechukuliwaje kwenda kusoma chuoni ile hali ana Division Four ya pont 31?

3. Kama alianza kusoma chuoni akiwa hana cheti cha Form four aliruhusiwaje kusoma chuoni?
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Adjustments.jpg
 
Raisi pitia haya majina ya tamisemi yakugushiwa


Toa tamko hizo ajira zifutwe ni uhuni wa kiwango cha hali ya

Vyeti feki, chaguzi feki, ajira feki, demokrasia feki.
Mitano tena kwa jina la Yesu na la Muhammad
Wamezoea kudanganya danganya.

Hebu fikiri kama wanaweza kupika majina ya waajiriwa, hali inakuwaje kwenye fedha za umma!

Ni jinsi gani wanavyoiba na kufanya udanganyifu?
 
Mkuu,

Unamacho na uko makini sana; ni kweli hilo jina limejirudia tena kila ukurasa mstari wa kwanza jina hilo ndio linaanza.

Matatizo ya watumishi ya kukopi na kupaste kwenye spreadsheet bila kutumia fomula ya hesabu sahihi ndio matokeo yake hayo.

Kwa mantiki hiyo jina hilo linakosesha haki ya walimu wenye sifa 195 hivyo kutoa mwanya wa rushwa kuchomeka mtu kisha orodha inarekebishwa.

TAMISEMI and Ministry of education must take drastic action to restore the rights of the qualified teachers.
Ni kweli kuna madudu mengi kwenye hizi ajira, lakini kwenye jina la huyo msela inaweza kuwa ni makosa ya kiuandishi. Kwenye excel huwa kuna ile ya ku-command heading ya kwenye table itoke kwenye kila page, sasa huyu mwandishi atakuwa alijichanganya badala ya kuhighlight ile line ya kwanza yenye vichwa vya habari aka-highlight kwenye line ya pili. Hayo ndiyo yaliyotokea kwenye hilo jina kujirudia! Wataalam wa excel watanisaidia!
 
Tatizo la hii nchi viongozi huona wananchi wote hawana akili Ila wao tu ndyo wanaaakili. Wanajua wakiweka serial numbers mtagundua mapema kama Walimu hawakufika 13000.

Wakiweka vyuo walivyosoma itakuwa rahisi kuwagundua kama wamepika majina[emoji1][emoji1][emoji1]. Kuhusu mtu kumaliza form four 2019 na kuajiriwa 2020 kama qualified mwalimu, hii najua Elon Musk anaweza kuielezea inawezekanaje????
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Mbona umempa Elon Musk kazi ngumu hivyo.
 
Kuna MTU ameajiriwa hapa amenitatanisha sana naomba tusaidiane kufatilia uhalisia wake

Anaitwa ABBDALLAH AHMED JIGWA
No yake ya Mtihani ni S2732-0091/2019
MTU huyu amehitimu shule ya sekondari MNADANI mwaka 2019

Haya ndo matokeo ya ana division four ya Point 31 na ufaulu wake wa masomo ni huu hapa;-

Civ F Hist D Geo F Kisw C Engl D Lit Eng F Bio F B/Math F

Leo amechaguliwa kwenda kufundisha Leo Leo Primary.
Maswali ya kujiuliza

1. Amesoma chuo kwa muda gani kama amehitimu kidato cha NNE 2019?

2. Amechukuliwaje kwenda kusoma chuoni ile hali ana Division Four ya pont 31?

3. Kama alianza kusoma chuoni akiwa hana cheti cha Form four aliruhusiwaje kusoma chuoni?
Alipata alama reasonable awali two or three years back, akaresit 2019 ili aepuke ualimu, ndo kapata hiyo points 31. Kumbuka aliresit akiwa chuo at the zake time.
 
Huyo aliechapisha nae ni binaadam ana mapungufu yake hivo pengine amekosea tu
Yaani hadi document inafika kwa katibu mkuu, anaitangaza lazima iwe imepitiwa na wakurugenzi, wakurugenzi wasaidizi, maafisa wakuu na waandamizi ina maana wote hawakuona hayo mapungufu
Lazima kuna uzembe wa hali ya juu hapo TAMISEMI
 
"Ole wake Tanzania tusipoisaidia nifanyalo NIMELIWEZA kushauri na kuomba zaidi nifanye nini,
Maanani Jaalia tanzania isijetufia".

MALIMU JK NYERERE.

uongozi wetu na hatma ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom