Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

Kakuambia NI YEYE.

Hayo majina hufanana na ndiyo maana tukiwa shuleni sekondaei mkuu wetu wa shule alilazimisha jina moja lazima liwe la KIBANTU kujitofautisha na wengine
 
Wakati miaka ya jakaya alikuwa ana ajiri wote waliohitimu,tena bila kutuma maombi,INA maana wao waligoma kwenda
Ndio ivo,walipaswa wawapishe wanye uhitaji.Kipindi chao kimeisha
 
Ni mpumbavu pekee anayeweza amini serikali hii kuajiri walimu zaidi ya elfu moja kwa mwaka
Mnafikiri tofaut na kuziba pengo la walimu wanaostaafu, kufa na kuacha kazi ajira mpya za walimu watawapeleka wapi? Serikali haijajenga shule mpya hata moja mnataka waajiri walimu 10 kweli???
 
Kakuambia NI YEYE.

Hayo majina hufanana na ndiyo maana tukiwa shuleni sekondaei mkuu wetu wa shule alilazimisha jina moja lazima liwe la KIBANTU kujitofautisha na wengine
Ndugu yangu tuseme uzi umeshindwa kuelewa
 
Tamisemi inamaaana imejiri waalimu 4000 tu wa shule ya msingi na imechomekea majina zaidi ya 3000 hewa ambapo nimejaribu kuingiza index namba za hao walioajiriwa shule za sekondari karibia 80% majina haya match (miss match) na majina waliondika ina tamisemi wamepitisha watu bila kupingwa?
 
Wanaojitolea wengi ninaowafahamu jamani hawajapata nafasi
Sijui hao wamewatoa wapi
Kweli watanzania tupo wengi
 

Namba 1,

Ndio ni makosa ya kiufundi.

Namba 2,

Hao nimesikia pahala ni kuwa walikuwa wakijitolea kwenye baadhi ya shule za msingi.

Namba 3.

Mtu anaweza kuwa alimaliza form four ila hakufanikiwa kwenda chuo kwa wakati huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…