Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
Wana repair usiwaamini sana wazungguKitu ina miaka 100 na bado kinalipa 🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana repair usiwaamini sana wazungguKitu ina miaka 100 na bado kinalipa 🔥
Matengenezo lazm lkn ubunifu wa miaka 100 mbele pia si mchezoWana repair usiwaamini sana wazunggu
Hata Chunya naskia miaka ya zamani kabla wakoloni hawajatimba, walikuwa wanatumia kama mafiga jikoni bila wao kujua kua ni maliHio iliokotwa zamani zikiwa hazina thamani, ilikuwa ukienda porini tu zimejaa kama mawe pori
Usipanic ,enjoy while it last 😂😂😂Why should we give a shit?
Duh ,ichi kigari ukikiiba ,hiyo dhahabu utajiri wako,watakula Hadi vitukuu,na itabakiNdiyo hivyo mkuu, mambo ya wakubwa hayo!.
View attachment 2612551
Mkuu hauwezekani wote tukapata siku moja acha nao watafute ili waje wajenge himaya zao siku moja.Chunya vijana wanatafuta dhahabu kwa shida, Uingereza wanachezea mali.
Hawafiki hata 0.05% ya raia wote wa Uingereza!Waingereza wenyewe wanaelekea kuchoshwa na mfumo wa kifalme. Budget ya kuihudumia familia ya kifalme ni kubwa sana, wanahoji.
Sijui kuna nguvu gani kwenye huu utawala wa kifalme. Maana likitokea zigo anabebeshwa Waziri mkuu,anafukuzwa/kuachia madaraka. Mfalme/Malkia yeye katuliaaWaingereza wenyewe wanaelekea kuchoshwa na mfumo wa kifalme. Budget ya kuihudumia familia ya kifalme ni kubwa sana, wanahoji.
Hawa unafki tupu.Kwanza huyu Charles hakutakiwa kuwa mfalme.Maana aliwahi talakiana na Diana. Sema mama yake ilibidi abadili sheria ili Charles aweze kuwa king. Zile sharia za kabla Elizabeth kubadili sheria, ni mtoto wa mwisho wa Elizabeth ndo alitakiwa awe king. Prince Edward. Hata sijaangalia huku kuapishwa. Mimi kwangu Diana ndo Queen.Victoire mambo yako haya
Guta lakin la dhahabu thaman yake dollar ngapi?Hilo ni Gali au Guta?
Kwa ufupi ni kuwa mwaka 2020, Price Harry aliamua kujitenga na kuondoka kutoka kwenye maisha ya kifalme.
Kisa na mkasa ni yule mwanamke mwenye asili ya Afrika Meghan na alitangaza uamuzi wa kuwa mbali kutoka kwa familia yao ambayo ilipinga sana kuingiza rangi nyeusi kwenye ukoo.
Ni marudio tu,mfalme Edward iv bab yake mkubwa na Elizabeth Ii yeye alipiga chini ufalme kisa alimuoa mwanamke wa Kimarekani aliyekuwa ameachika mara mbili.we jamaa muongo duh.
Asili yake mmarekani mweusi