Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee lilikuwa linang'aa balaaaNdiyo hivyo mkuu, mambo ya wakubwa hayo!.
View attachment 2612551
Hivi mbona Hakuwa na mkewe wapo shwari au Kuna jambo?Prince Harry kagoma kutoa kiki. Kaondoka kimya kimya kwenda kusherehekea birthday ya mwanae Marekani
Ufalme ni symbol tu ya heshima ya utamaduni wao,waziri mkuu na bunge ndio mtendaji wa shughuli za nchi ndio maana Mambo yakienda mrama waziri mkuu anawajibishwaSijui kuna nguvu gani kwenye huu utawala wa kifalme. Maana likitokea zigo anabebeshwa Waziri mkuu,anafukuzwa/kuachia madaraka. Mfalme/Malkia yeye katuliaa
Hivi mbona Hakuwa na mkewe wapo shwari au Kuna jambo?
Huyo ndio alisabisha matatizo ya Diana, Waingereza hawampendi sana.Mapicha ni mengi sana my dear ila chukua hii hapa 👇🏾
View attachment 2612568
☝🏾Mwenzako aliyekuwa nyumba ndogo Camila (pichani) sasa amekuwa Malkia wa Uingereza, alikuwa nyumba ndogo wa Prince Charles ambaye baadae alifunga ndoa rasmi na Prince 2005.
Kuwa mwaminifu kwa mwanaume uliye naye!.
Mkuu hii uliitoa wapi?.
Nadhani shida ni watu tu wamechoka na kutukuza familia moja.Waingereza wenyewe wanaelekea kuchoshwa na mfumo wa kifalme. Budget ya kuihudumia familia ya kifalme ni kubwa sana, wanahoji.
Jamiiforums sijui siku hizi wakoje..haifungui picha, kuna shida mahaliMapicha ni mengi sana my dear ila chukua hii hapa [emoji1484]
View attachment 2612568
[emoji1489]Mwenzako aliyekuwa nyumba ndogo Camila (pichani) sasa amekuwa Malkia wa Uingereza, alikuwa nyumba ndogo wa Prince Charles ambaye baadae alifunga ndoa rasmi na Prince 2005.
Kuwa mwaminifu kwa mwanaume uliye naye!.
Meghan naye hawapatani na wifi yake, wanawake bhana!Hawampendi zaidi ya Meghan..?
Nafikiri kuna kitu kilimuumiza sana huyu ujamaa zaidi ya wanayo tuelezea mbele za macho yetu.Prince Harry kagoma kutoa kiki. Kaondoka kimya kimya kwenda kusherehekea birthday ya mwanae Marekani