Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Ila nalo neno,,,wenye pesa wameiongezea thamani kila siku inapanda beiBila wenyewe pesa zao kununua dhahabu wakachezee hao vijana hawawezi kwenda kuchimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila nalo neno,,,wenye pesa wameiongezea thamani kila siku inapanda beiBila wenyewe pesa zao kununua dhahabu wakachezee hao vijana hawawezi kwenda kuchimba
Niambie bby wangu
Ss kama Meghan tu anaonekana mweusi vile hali ingekuwaje angeowa pure black from Jamaica [emoji848]Kwa ufupi ni kuwa mwaka 2020, Price Harry aliamua kujitenga na kuondoka kutoka kwenye maisha ya kifalme.
Kisa na mkasa ni yule mwanamke mwenye asili ya Afrika Meghan na alitangaza uamuzi wa kuwa mbali kutoka kwa familia yao ambayo ilipinga sana kuingiza rangi nyeusi kwenye ukoo.
Bora kakaa nao mbali aisee,nilimuonea huruma mume alivyokuwa peke yake nikaona wasijekuwa wametofautiana maana penzi lao ni penzi la mfano lile,natamani wazeeke pamojaWapo shwari nadhani safari hii waliamua wasitoe kiki. Media za Uk huwa zinachangamka sana zikimuona meghan kwenye hizo sherehe na kumzushia mabaya ya kila aina
Huwa namhurumia Sana Harry amefanya sacrifice kubwa kwa ajili ya Meghan. Wamarekani huwa siwaamini Sana wanapenda kufile divorce hata kwa kosa dogo.Bora kakaa nao mbali aisee,nilimuonea huruma mume alivyokuwa peke yake nikaona wasijekuwa wametofautiana maana penzi lao ni penzi la mfano lile,natamani wazeeke pamoja
Kabisa,nilipata hofu sana nilivyomuona peke yake,,,yaani Meghan akimfanyia hivyo daaah atakuwa kamfanyia kitu kibaya sana sijui Harry ataweka wapi sura yakeHuwa namhurumia Sana Harry amefanya sacrifice kubwa kwa ajili ya Meghan. Wamarekani huwa siwaamini Sana wanapenda kufile divorce hata kwa kosa dogo.
Aisee itamgharimu Sana. Wavumilane tu kwenye shida na raha.Kabisa,nilipata hofu sana nilivyomuona peke yake,,,yaani Meghan akimfanyia hivyo daaah atakuwa kamfanyia kitu kibaya sana sijui Harry ataweka wapi sura yake
Ni suala la muda tu huyo Meghan atakuja kumpiga tukio moja la kibabe Sana Harry hataamini..Kabisa,nilipata hofu sana nilivyomuona peke yake,,,yaani Meghan akimfanyia hivyo daaah atakuwa kamfanyia kitu kibaya sana sijui Harry ataweka wapi sura yake
Meghan naona ana shida yule ka ndoa ya kwanza ilimshinda hata hii pia itamshinda hafu why wao tu ndio hulalamika kutendewa mabaya Ina maana wao ni malaika hawajawaudhi wengine. Maana kwenye familia kutofautiana hata kugombana ni kawaida mwisho wa siku watu hu reconcileHuwa namhurumia Sana Harry amefanya sacrifice kubwa kwa ajili ya Meghan. Wamarekani huwa siwaamini Sana wanapenda kufile divorce hata kwa kosa dogo.
Na harry kagombana na familia nzima kisa mwanamke au viugomvi vya Meghan na Catherine wanaume inabidi muwe smart wanawake viugomvi vyetu Huwa vya mambo ya hovyo na wewe mwanaume ukiingia kichwa kichwa inakula kwakoNi suala la muda tu huyo Meghan atakuja kumpiga tukio moja la kibabe Sana Harry hataamini..
Hata ukipendeza zaidi yake mwenzio anakasirika teh tehNa harry kagombana na familia nzima kisa mwanamke au viugomvi vya Meghan na Catherine wanaume inabidi muwe smart wanawake viugomvi vyetu Huwa vya mambo ya hovyo na wewe mwanaume ukiingia kichwa kichwa inakula kwako
We are emotions in decision making
Ni kweli ugomvi zetu Huwa hazinaga kichwa Wala miguu mwanaume ukisikiliza mkeo Kwa hisia mtagombana na Kila mtu huku na yeye anakera wengine vile vileHata ukipendeza zaidi yake mwenzio anakasirika teh teh
Itakuwa haziivi na huyo mzee wake, mara nyingi wazazi wanapotifuana inawavuruga hadi watoto.Nafikiri kuna kitu kilimuumiza sana huyu ujamaa zaidi ya wanayo tuelezea mbele za macho yetu.
Sijui Nani katuroga sisi😭Mwizi mwenyewe tumempa hadi askali wakamsindikize kwenye sherehe yake, 😂 ahahahaaa!.
Ooooh nitasikitika sana,jamaa ame sacrifices sanaNi suala la muda tu huyo Meghan atakuja kumpiga tukio moja la kibabe Sana Harry hataamini..
Yaani Harry kujitenga na familia ni kosa ambalo àtakuja alijutie siku moja.Meghan naona ana shida yule ka ndoa ya kwanza ilimshinda hata hii pia itamshinda hafu why wao tu ndio hulalamika kutendewa mabaya Ina maana wao ni malaika hawajawaudhi wengine. Maana kwenye familia kutofautiana hata kugombana ni kawaida mwisho wa siku watu hu reconcile