Tazama foleni hii ya wanunuzi wa sukari Morogoro. Juzi Waziri Bashungwa kapitishiwa bajeti ya hovyo iliyoungwa mkono na wanaccm wote Bungeni

Tazama foleni hii ya wanunuzi wa sukari Morogoro. Juzi Waziri Bashungwa kapitishiwa bajeti ya hovyo iliyoungwa mkono na wanaccm wote Bungeni

Wale ambao baada ya vita ya nduli Idi Amin hamukuwepo basi hivi ndio tulivyopanga foleni kupata unga wa Yanga, Viberiti, Sigara, Bia, Betri za radio, Viatu vya bora (Raizone), Kununua radio cassete mshale au Phillips n.k lakini ilikuwa ni sababu ya vita na leo sijui dhahama hii imeletwa na nini naomba mnijuze.
Ni vita hiyo hiyo ila safari hii ni vita ya kibaiolojia ( Corona)
 
Hii ni foleni ya wanaonunua sukari Morogoro mjini ndani ya duka la mbunge wao.

Kinachonikera zaidi juzi waziri wa viwanda na biashara kapitishiwa bajeti mbovu sana huku wabunge wa CCM pamoja na spika wakijikita kuishambulia Chadema.

Aidha hawa ni wanunuzi wa jumla. Unapata Corona na sukari halafu ukitoka hapo wanakuja watu wa serikali za mitaa wanataifisha.

Kishindo cha awamu ya tano kwelikweli!

Kuna watu humu wanasema kwao inapatikana kwa bei elekezi 2600 kwa kilo. Sijui ni wapi huko. Jana niligundua sukari ambayo nilikuwa nimenunua kwa 3600 kwa kilo imeisha. Mitaani pia hakuna. Leo baada ya ibada nimee.kezwa kwa duka la mpemba. Bei yake ni nzuri tu ila ni km 3 toka ninakoishi. Huyu a afanya bei ya haki ya mfungo kwa 3000. Naskia hao wabei za jumla ndio wanawauzia wa rejareja kwa 128,000 kwa kiroba cha 50 kg. Sasa huyu wa rejareja atauza kwa bei gani? SERIKALI IFUATILIE WAUZAJI WA JUMLA. TUNAOMBA WAWEKE ULINZI NA KILA DUKA LA ENEO HUSIKA WAUZIWE HIYO SUKARI BILA ULANGUZI. Hao wanaogawia watu sukari ni siasa tu. Waingie mitaani waulize ktk maduka ya rejareja kama watapata sukari.HIVI NI KWA NINI INAKUWA HIVI KILA MWAKA? JE UAGIZAJI WA SUKARI NJE UNACHELEWESHWA KWA AJILI GANI? HILI SIO LENGO LA KKUFANYA BEI IWE JUU?
 
Tanzania umesikia tumefunga viwanda na watu kuamliwa wakae nyumbani? Au umesikia Kenya na Rwanda wanapanga foleni japo waliwazuia watu kutaka? Tanzania hatuna kiongozi ndugu nchi inaenda kama gari bovu nikimnukuu maneno ya Rais mstaafu Mwinyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna lockdown ya ndani na ya nje . ama Intra na inter lockdown.
Nchi inategemea supplies kutoka Zambia, Kenya, Brazil pia.
 
Kwani sisi tuna lockdown, yani kweli utetezi mwingine muwe mnaona aibu
Kuna lockdown ya ndani na ya nje . ama Intra na inter lockdown.
Nchi inategemea supplies kutoka Zambia, Kenya, Brazil pia.
 
Wewe mchochezi, hao wanapewa
bure sukari na Mbunge wao, hongera sana Mh Mbunge kwa kuwajali wananchi wako..

Awamu ya tano inapiga kazi sana, pato la Mtanzania limekua na uchumi unakua kwa zaidi ya 7%.. Soon Watanzania kama wa hapo Moro wataanza kupanga foleni wakipewa bidhaa bure na Serikali yao..Tuchape kazi..
Hata kama usemavyo ni kweli. Swali :Je sukari ipo mitaani?? Je ukibahatisha utauziwa kwa bei elekezi ya Serikali??
Acheni siasa kwenye masuala yanayowahusu au kuwaumiza Wananchi bila sababu za msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni foleni ya wanaonunua sukari Morogoro mjini ndani ya duka la mbunge wao.

Kinachonikera zaidi juzi waziri wa viwanda na biashara kapitishiwa bajeti mbovu sana huku wabunge wa CCM pamoja na spika wakijikita kuishambulia Chadema.

Aidha hawa ni wanunuzi wa jumla. Unapata Corona na sukari halafu ukitoka hapo wanakuja watu wa serikali za mitaa wanataifisha.

Kishindo cha awamu ya tano kwelikweli!

Watoa maamuzi wameshindwa kutambua kanuni ya "Supply and Demand". Supply ni kiduchu Demand ni bwerere. Unategemea nini? Bei juu. Hata utumie bunduki na majeshi huwezi kushinda nguvu ya soko.
 
Hii ni foleni ya wanaonunua sukari Morogoro mjini ndani ya duka la mbunge wao.

Kinachonikera zaidi juzi waziri wa viwanda na biashara kapitishiwa bajeti mbovu sana huku wabunge wa CCM pamoja na spika wakijikita kuishambulia Chadema.

Aidha hawa ni wanunuzi wa jumla. Unapata Corona na sukari halafu ukitoka hapo wanakuja watu wa serikali za mitaa wanataifisha.

Kishindo cha awamu ya tano kwelikweli!

Yaani mtu asote hivyo halafu umpangie bei?
 
Najua Bashungwa hana ufahamu wa forces of demand and supply ila hivi ni kweli wizara nzima haina mchumi?
When you impose a ceiling price without addressing supply is like kuchamba kabla ya kujisaidia. When you set a ceiling price in the absence of the commodity, you are intact allowing the sharks to take over.
Serikali ya awamu ya tano imejaa mbumbumbu watupu wanaojiita ni wasomi.

Useless politicians

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna lockdown ya ndani na ya nje . ama Intra na inter lockdown.
Nchi inategemea supplies kutoka Zambia, Kenya, Brazil pia.
Supply ya sukari kwenye soko itaendelea kuathirika kwa sababu nchi tunakoagiza ziko kwenye lock-down. Uzalishaji wa viwanda vya ndani ni mdogo. Kwa hali hiyo lazima bei ipande tu. This is the simple law of economics!
 
Supply ya sukari kwenye soko itaendelea kuathirika kwa sababu nchi tunakoagiza ziko kwenye lock-down. Uzalishaji wa viwanda vya ndani ni mdogo. Kwa hali hiyo lazima bei ipande tu. This is the simple law of economics!

Ndiyo mkuu, sasa mie nashangaa hawa wanaoshangaa.
 
Look at you? Matumizi ya sukari sio chai tu. Ikikosekana viwanda vingi vitafungwa kama vile soda, mikate, beer, biscuits etc. Vikifungwa hivi vitaongeza wasio na kazi na kodi ya nchi itapungua sana. Next time fikiria na long term effects ya kitu before you commit pen to paper. Sawa mama....
Sukari ikikosekana mbali na hivyo viwanda unakuwa umeua biashara zote za kina mama ntilie ambao wanaendesha familia zao kwa kazi hizo.

Hii awamu ya tano imejaa watu useless kabisa wameshindwa kutatua suala la sukari tu masuala mazito wataweza hawa mbumbumbu ?

No wonder wamejificha vijijini kukimbia corona nchi inajiendea tu autopilot

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni foleni ya wanaonunua sukari Morogoro mjini ndani ya duka la mbunge wao.

Kinachonikera zaidi juzi waziri wa viwanda na biashara kapitishiwa bajeti mbovu sana huku wabunge wa CCM pamoja na spika wakijikita kuishambulia Chadema.

Aidha hawa ni wanunuzi wa jumla. Unapata Corona na sukari halafu ukitoka hapo wanakuja watu wa serikali za mitaa wanataifisha.

Kishindo cha awamu ya tano kwelikweli!

Katika kipindi hichi cha hili janga na hivi tulivyo kama mayatima vitu vingi sana vitapanda bei muda utaongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom