Tanzania umesikia tumefunga viwanda na watu kuamliwa wakae nyumbani? Au umesikia Kenya na Rwanda wanapanga foleni japo waliwazuia watu kutaka? Tanzania hatuna kiongozi ndugu nchi inaenda kama gari bovu nikimnukuu maneno ya Rais mstaafu Mwinyi.Hiyo ni effect ya lockdown. Na wala si Tanzania hata nchi zingine watu hawaruhusiwi kununua zaidi ya packt 2 ya maziwa ama sukari tena in heart of europe.
Mafisadi yanayohujumu yajiandae
Lockdown umeianzisha kwa amri ya nani wewe,wakati baba Jesca ameapa kutosikia kitu kama hicho aslani.Hiyo ni effect ya lockdown. Na wala si Tanzania hata nchi zingine watu hawaruhusiwi kununua zaidi ya packt 2 ya maziwa ama sukari tena in heart of europe.
Yeye ndiye mharibifu No.1 kwenye hili.Hili la sukari nalo mpaka Rais alisemee kweli,,? Sukari tu
Tatizo asali nyingi unayoiona inauzwa aidha barabarani sokoni au kutembezwa mitaani inakuwa imechakachuliwa na haifai kwa matumizi ya binadamu.Za kuambiwa changanya na zako,
bei ya asali inalingana na bei ya sukari? Licha ya kuwa asali ni nzuri kiafya lakini je ni watanzania wangapi watamudu kutumia asali kama mbadala wa sukari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunarudi enzi za ugawaji pindi gari la kugawa bidhaa likionekana lilikuwa lilikimbilia mtaa mzima Kama watu wameona ngekewa.Hii ni foleni ya wanaonunua sukari Morogoro mjini ndani ya duka la mbunge wao.
Kinachonikera zaidi juzi waziri wa viwanda na biashara kapitishiwa bajeti mbovu sana huku wabunge wa CCM pamoja na spika wakijikita kuishambulia Chadema.
Aidha hawa ni wanunuzi wa jumla. Unapata Corona na sukari halafu ukitoka hapo wanakuja watu wa serikali za mitaa wanataifisha.
Kishindo cha awamu ya tano kwelikweli!
Kama sukari ni ghali tule miwaHivi adha yote hii ni ili tunywe chai tu?
Hao jamaa hata hawajavaa barakoa, au wapo Lesotho nini? Hawana kabisa wasiwasi, sukari imewavuruga akili. Serikali ilipanga bei elekezi bila kujua upatikanaji wa sukari, acha tu waifiche, hakuna aliye tayari kupata hasara.
Znz ni nchi nyingine kwenye masuala ya kodiZanzibar kuna kiwanda kikubwa cha sukari sijui kwanini wasiruhusu iletwe huku bara....
Kiroba cha sukari kilikuwa kinauzwa elfu hamsimi na sita kama sikosei lakini sasa imepanda hadi kufikia elfu 96
Tunarudi enzi za ugawaji pindi gari la kugawa bidhaa likionekana lilikuwa lilikimbilia mtaa mzima Kama watu wameona ngekewa.
Mkuu hapa tunazungumzia sukari na sio chai.kwani
kwani KABLA ya Ramadhani Raia hawanywi chai?...