Tazama jinsi Samia alivyomzidi akili Magufuli kwenye uchumi

Tazama jinsi Samia alivyomzidi akili Magufuli kwenye uchumi

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Screenshot_20230128-100215.png


Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Tanzania kwa sasa tuna export bidhaa zaidi huko Kenya kuliko Kenya wanacholeta kwetu.
Hivyo T Shilling lazima iimarike.
Na Dollar bado iko stable kwa muda mrefu.

Nchi imeimarika kibiashara na inflation iko controlled.

Tunakumba serikali ya Magufuli ilipochoma vifaranga pale mpakani Namanga.
Jamaa alifrustrate nchi kibiashara hadi wafanya biashara wanoweza kulipa kodi stahiki walikimbia nchi.
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Unatafuta ugomvi na wazee wa legacy, ngoja waje 🤣🤣🤣🤣
 
Tanzania kwa sasa tuna export bidhaa zaidi huko Kenya kuliko Kenya wanacholeta kwetu.
Hivyo T Shilling lazima iimarike.
Na Dollar bado iko stable kwa muda mrefu.

Nchi imeimarika kibiashara na inflation iko controlled.

Tunakumba serikali ya Magufuli ilipochoma vifaranga pale mpakani Namanga.
Jamaa alifrustrate nchi kibiashara hadi wafanya biashara wanoweza kulipa kodi stahiki walikimbia nchi.
Inflation iko controlled ??
 
Tanzania kwa sasa tuna export bidhaa zaidi huko Kenya kuliko Kenya wanacholeta kwetu.
Hivyo T Shilling lazima iimarike.
Na Dollar bado iko stable kwa muda mrefu.

Nchi imeimarika kibiashara na inflation iko controlled.

Tunakumba serikali ya Magufuli ilipochoma vifaranga pale mpakani Namanga.
Jamaa alifrustrate nchi kibiashara hadi wafanya biashara wanoweza kulipa kodi stahiki walikimbia nchi.
Tuna export zaidi nini kenya? wakati mfano matikiti tu kenya wanayaleta sana kwetu
 
Inflation iko controlled ??
Hutawaweza chawa.

Nchi nyingi zimeporomoka kiuchumi, lock down ikiwa sababu kubwa, Samia alisema hii nchi haitakuwa locked down, nadhani hapo ndipo alipomzidi Jiwe sio?

Kwa bahati mbaya, biashara na nchi nyingine, hata hiyo Kenya zinafanyika kwa dollar, sijui Tzs vs Usd ikoje kabla na sasa?

Deni limekuwa kwa kiasi gani, kabla na sasa?

Upigaji umeongezeka kwa kiasi gani? Uhalifu? Uharibifu? Rushwa? Urasimu? Uzembe?

GDP inakwendaje? Wanasema inflation iko controlled? Kivipi? Hizo data za kupikiliza? Maana kama walisema jiwe anapika, wao wanapikiliza!

Kitu tangible walichokifanya kwa sasa ni kuhakikisha pesa zote zimetakatishwa kwa kutumia mikopo, wamejaza yard zao za magari, ushuru wanalipa watumia miamala ya simu.

10,000 kwa sasa, ni ngumu kuipata lakini haina nguvu sokoni.
 
Hutawaweza chawa.

Nchi nyingi zimeporomoka kiuchumi, lock down ikiwa sababu kubwa, Samia alisema hii nchi haitakuwa locked down, nadhani hapo ndipo alipomzidi Jiwe sio?

Kwa bahati mbaya, biashara na nchi nyingine, hata hiyo Kenya zinafanyika kwa dollar, sijui Tzs vs Usd ikoje kabla na sasa?

Deni limekuwa kwa kiasi gani, kabla na sasa?

Upigaji umeongezeka kwa kiasi gani? Uhalifu? Uharibifu? Rushwa? Urasimu? Uzembe?

GDP inakwendaje? Wanasema inflation ikk controlled? Ipi? Hizo data za kupikiliza? Maana kama walisema jiwe anapika, wao wanapikiliza! Kitu tangible walichokifanya kwa sasa ni kuhakikisha pesa zote zimetakatishwa kwa kutumia mikopo, wamejaza yard zao za magari, ushuru wanalipa watumia miamala ya simu.

10,000 kwa sasa, ni ngumu kuipata lakini haina nguvu
Nimeshangaa sana
 
Ungesema kuwa iko asilimia ngapi hiyo control ingekuwa vizuri.

Mimi nimeuliza kwa kutoa mifano
BOT wanasema sijuu 4.5%
Nchi zote waliotuzunguka wapo juu ya 9%, wengine mpaka 23%.

Wakulima wanauza ovyo mazao nje bila records wala data, tena wanauzia mashambani kwa pesa local, kisha mjuaji mmoja anakwambia tuna export zaidi kuliko Kenya wanavyo import toka kwetu, kweli?

Unanunua bidhaa kutoka kwao kwa dollar, wao wananunua mazao kutoka shambani kwako kwa shilingi yenu, tena wala usijue nani kauza nini, kisha unakuja kutuambia, ume export zaidi? Pathetic fools
 
BOT wanasema sijuu 4.5%
Nchi zote waliotuzunguka wapo juu ya 9%, wengine mpaka 23%.

Wakulima wanauza ovyo mazao nje bila records wala data, tena wanauzia mashambani kwa pesa local, kisha mjuaji mmoja anakwambia tuna export zaidi kuliko Kenya wanavyo import toka kwetu, kweli?

Unanunua bidhaa kutoka kwao kwa dollar, wao wananunua mazao kutoka shambani kwako kwa shilingi yenu, tena wala usijue nani kauza nini, kisha unakuja kutuambia, ume export zaidi? Pathetic fools
Wanapata wapi Tsh za kuingia nazo shambani? Sio kwamba wanabadili kutoka fedha za kigeni? Kama ndio still demand ya Tsh itaongezeka. Kwenda shambani kuna matatizo mengine ila siyo demand ya Tsh.
 
Back
Top Bottom