Tazama jinsi Samia alivyomzidi akili Magufuli kwenye uchumi

Tazama jinsi Samia alivyomzidi akili Magufuli kwenye uchumi

Sasa mkuu Tanzania tuna zalisha bidhaa gani za kupeleka kenya? Kama wananchi wa Dar wanatumia bidhaa kutoka Kenya na Supermarket zote zimejaa bidhaa kutoka Kenya, na Phamace zote ukienda kununua dawa utapewa dawa kutoka kenya au India
Hasa Kenya kinaenda chakula , kwa wingi sana.
Mahindi, machungwa, mananasi, mbao za Sao Hill na hivi karibuni hata makaa ya mawe.
 
Kila Rais kafanya yake, Kikwete naye aliingia na kuacha vyuo, barabara shule na hospitali kibao, ajira bwerere
Ila hakuiacha nchi na madeni makubwa
Mkapa aliacha dollar moja sawa na shilingi 800, Kikwete kaiacha dollar moja 2200 , kwajyo kwa sasa Rais akikopa ladhima mkopo utakuwa mkubwa tofauti ya Kikwete alivyo kuta dollar moja sawa na 800.
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Chawa wa mama mnalicost taifa.
 
Mkapa aliacha dollar moja sawa na shilingi 800, Kikwete kaiacha dollar moja 2200 , kwajyo kwa sasa Rais akikopa ladhima mkopo utakuwa mkubwa tofauti ya Kikwete alivyo kuta dollar moja sawa na 800.
Ukubwa wa deni nimeupima kwa USD sio Tshs
 
Tanzania kwa sasa tuna export bidhaa zaidi huko Kenya kuliko Kenya wanacholeta kwetu.
Hivyo T Shilling lazima iimarike.
Na Dollar bado iko stable kwa muda mrefu.

Nchi imeimarika kibiashara na inflation iko controlled.

Tunakumba serikali ya Magufuli ilipochoma vifaranga pale mpakani Namanga.
Jamaa alifrustrate nchi kibiashara hadi wafanya biashara wanoweza kulipa kodi stahiki walikimbia nchi.
screenshot_20230128-100215-png.2497979

Huna haja ya kuandikia mate mkuu, Tazama tu shillingi ya Kenya inavyoshuka ukilinganisha na ya Tanzania.
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Tuuunganishe nguvu, tutoe Kodi Kwa uaminifu, uchumi utapandaaa Hadi wa kufikia marekanii.

Niombe wapinzani kwenye mikutano wasiache kutoa pongeziii
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
exactly
 
Mfafanulie mtu wa mtaani kwa lugha nyepesi akuelewe ambae mtu huyu akienda kununua mchele anakuta unauzwa 3,500 na kilo ya maharage 4,000,nini unamaanisha unaposema inflation imekuwa controlled.
Mchele na maharagwe ni bidhaa mbili kati ya nyingi zinazouzwa tz,by the way mtu was mtaani ni yupi!?
 
Inflation huku kwetu hakuna:-
  • Mchele Super wa Mbeya Kg 1 - 1,800/-
  • Mafuta kupikia Lita 1 - 3,000/-
  • Soda - 500/-
  • Bia - 1500/-

Maisha raha mstarehe...😂😂😂 yaani USD 1 huku tunainunua kwa Tsh. 1,800/-
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Akili gani kwani ujui sasa ni dhama za kunya akili na kubakisha kinyesi ..em tufafanulie
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Haya basi umejitekenya umecheka na kujifariji.Tulia Sasa
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
 

Attachments

  • 65D20616-8BCE-4671-95EB-6E95D2655C3B.jpeg
    65D20616-8BCE-4671-95EB-6E95D2655C3B.jpeg
    167.9 KB · Views: 1
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Yule mporipori aliamini kutumia mitutu ya bunduki kuliko kutumia akili, tunamshukuru Mungu kutuamulia huu ugomvi
 
Back
Top Bottom