Tazama jinsi Samia alivyomzidi akili Magufuli kwenye uchumi

Tazama jinsi Samia alivyomzidi akili Magufuli kwenye uchumi

Hutawaweza chawa.

Nchi nyingi zimeporomoka kiuchumi, lock down ikiwa sababu kubwa, Samia alisema hii nchi haitakuwa locked down, nadhani hapo ndipo alipomzidi Jiwe sio?

Kwa bahati mbaya, biashara na nchi nyingine, hata hiyo Kenya zinafanyika kwa dollar, sijui Tzs vs Usd ikoje kabla na sasa?

Deni limekuwa kwa kiasi gani, kabla na sasa?

Upigaji umeongezeka kwa kiasi gani? Uhalifu? Uharibifu? Rushwa? Urasimu? Uzembe?

GDP inakwendaje? Wanasema inflation iko controlled? Kivipi? Hizo data za kupikiliza? Maana kama walisema jiwe anapika, wao wanapikiliza!

Kitu tangible walichokifanya kwa sasa ni kuhakikisha pesa zote zimetakatishwa kwa kutumia mikopo, wamejaza yard zao za magari, ushuru wanalipa watumia miamala ya simu.

10,000 kwa sasa, ni ngumu kuipata lakini haina nguvu sokoni.
Umemaliza kila kitu.
 
Tanzania kwa sasa tuna export bidhaa zaidi huko Kenya kuliko Kenya wanacholeta kwetu.
Hivyo T Shilling lazima iimarike.
Na Dollar bado iko stable kwa muda mrefu.

Nchi imeimarika kibiashara na inflation iko controlled.

Tunakumba serikali ya Magufuli ilipochoma vifaranga pale mpakani Namanga.
Jamaa alifrustrate nchi kibiashara hadi wafanya biashara wanoweza kulipa kodi stahiki walikimbia nchi.
Inflation gani controlled soda 700/= toka 500=, bia 1,700/=, mchele 3,000/=+ kutoka 1,500/=, maharage 4,000/=per kg kutoka 1,600/= per kg, gas small cylinder 23,000/= toka 18,000/= nauli za daladala 650/= kutoka 450/= usiwe mwanasiasa kuwa realistic
 
BOT wanasema sijuu 4.5%
Nchi zote waliotuzunguka wapo juu ya 9%, wengine mpaka 23%.

Wakulima wanauza ovyo mazao nje bila records wala data, tena wanauzia mashambani kwa pesa local, kisha mjuaji mmoja anakwambia tuna export zaidi kuliko Kenya wanavyo import toka kwetu, kweli?

Unanunua bidhaa kutoka kwao kwa dollar, wao wananunua mazao kutoka shambani kwako kwa shilingi yenu, tena wala usijue nani kauza nini, kisha unakuja kutuambia, ume export zaidi? Pathetic fools
Wanajaribu kufanya sugarcoating ya tatizo as if watu wote ni wajinga kama wao.
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Linganisha tsh kwa dollar utajiona ulivyo mpumbavu. Wakati wa JPM dollar haikuzidi 2,330
 
Hivi Tanzania kabla ya Magufuli ilikuaje? Kuna wakati najiuliza hili swali.
Kabla ya Magufuli ilikua hivi

Mfugale Flyover haikuwepo
Kijazi Flyover haikuwepo
Bus za Mwendokasi hazikuwepo
Treni za Mwendokasi haziwepo
Magufuli Hostel UDSM hazikuwepo
Ukuta kuizunguka UDSM haukuwepo
Ukuta wa Mererani haukuwepo
Soko la Madini la ndani halikuwepo
Magufuli Bus Terminal haikuepo

Nmeandika machache yanayoweza kuonekana kwa macho,
 
Kabla ya Magufuli ilikua hivi

Mfugale Flyover haikuwepo
Kijazi Flyover haikuwepo
Bus za Mwendokasi hazikuwepo
Treni za Mwendokasi haziwepo
Magufuli Hostel UDSM hazikuwepo
Ukuta kuizunguka UDSM haukuwepo
Ukuta wa Mererani haukuwepo
Soko la Madini la ndani halikuwepo
Magufuli Bus Terminal haikuepo

Nmeandika machache yanayoweza kuonekana kwa macho,
Kila Rais kafanya yake, Kikwete naye aliingia na kuacha vyuo, barabara shule na hospitali kibao, ajira bwerere
Ila hakuiacha nchi na madeni makubwa
 
Utuletee na pesa ya Japani inabadirishwa kwa bei gani ili tuone ikiwa thamani ya pesa huamua uchumi wa nchi
 
Tanzania kwa sasa tuna export bidhaa zaidi huko Kenya kuliko Kenya wanacholeta kwetu.
Hivyo T Shilling lazima iimarike.
Na Dollar bado iko stable kwa muda mrefu.

Nchi imeimarika kibiashara na inflation iko controlled.

Tunakumba serikali ya Magufuli ilipochoma vifaranga pale mpakani Namanga.
Jamaa alifrustrate nchi kibiashara hadi wafanya biashara wanoweza kulipa kodi stahiki walikimbia nchi.
Hivi maana ya Inflation ni nini? Au mi ndiyo kilaza sijui kusoma na ata picha kuona sion!
 
Ila kiukweli bora Mama kuliko Magufuli! Wakati wa magufuli vyuma vilikaza sana mpaka mwenyewe akasema ole wake mtu aseme vyuma vimekaza! Mahotel yalifungwa mabar yalikufa yule mzee bora Mungu alichukua roho yake sasa kwa mama Samia mambo safi mikutano ruhsa watu hawatekwi tena kwa kweli mama Samia Mungu akubariki uishi miaka 150
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Huu ujinga mtaacha lini!?
uchawa mpaka mnatia aibu!
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Tafsiri ya sahihu inatakiwa iwe hela yetu imeimarika au Ksh yenye imeshuka thaman kutoka na factor zao wenyewe na sio Tsh imekuwa strong? Mfano leo hii Dollar ishuke thaman! Utasema Tsh imekuwa kutokana na nchi ya Tanzania kufanya vizuri kwenye biashara au kuna factor za huko kidunia zimesababisha thaman ya USD kupolomoka?
 
Tanzania kwa sasa tuna export bidhaa zaidi huko Kenya kuliko Kenya wanacholeta kwetu.
Hivyo T Shilling lazima iimarike.
Na Dollar bado iko stable kwa muda mrefu.

Nchi imeimarika kibiashara na inflation iko controlled.

Tunakumba serikali ya Magufuli ilipochoma vifaranga pale mpakani Namanga.
Jamaa alifrustrate nchi kibiashara hadi wafanya biashara wanoweza kulipa kodi stahiki walikimbia nchi.
Sasa mkuu Tanzania tuna zalisha bidhaa gani za kupeleka kenya? Kama wananchi wa Dar wanatumia bidhaa kutoka Kenya na Supermarket zote zimejaa bidhaa kutoka Kenya, na Phamace zote ukienda kununua dawa utapewa dawa kutoka kenya au India
 
Hivi maana ya Inflation ni nini? Au mi ndiyo kilaza sijui kusoma na ata picha kuona sion!
Inflation maana yake ni fedha kukosa thamani.
Miaka ya nyuma kidogo, miaka ya mzee Ruksa ilikuwa kawaida watu kutembea na mabulungutu hadi kwenye soksi ili kununua bidhaa.
Na serikali ilikuwa inachapisha fedha ili kulipa wafanyakazi, yaani fedha haizalishwi kiuchumi bali inachapishwa bila kuwa na usalishaji kuichumi.
 
Back
Top Bottom