Tazama jinsi Samia alivyomzidi akili Magufuli kwenye uchumi

Tazama jinsi Samia alivyomzidi akili Magufuli kwenye uchumi

View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Sorry ujuwe akili yako Haina uchumi kichwani? Kenya hawana siasa kama za Tz chama dola umenisoma? Kenya anachofanya ni mchezo wa paka na panya why wao wapo mbali kwenye ujasusi wa uchumi Yani anashusha sh yake while anazowa chakula chote na kuuza kwa Dola while Dola anakupa yeye nadhani hujuwo soko la Dola lipo hapo Kenya na wakifunga hapa unapumoulia machine ameshusha tamani ya Tz akupige kwenye chakula na

soko la Dola mjinga... Sorry endelea kushangilia birthday... Neno la Mungu linasema mna angamia kwa kukosa maarifa.
 
Kuna wakati unasoma comments hapa unabaki kushangaa tu.Mkuu hapa wewe changia ukijua unajibizana na watu mwisho wa siku wanakwenda kureport nini wamefanya kwa siku hiyo kusifia ili wapate mkate wa kupeleka mezani kwa familia zao.
Kuuuuuumbeeeee...

Kupaka mafuta kwa mgongo wa chupaaa
 
Sorry ujuwe akili yako Haina uchumi kichwani? Kenya hawana siasa kama za Tz chama dola umenisoma? Kenya anachofanya ni mchezo wa paka na panya why wao wapo mbali kwenye ujasusi wa uchumi Yani anashusha sh yake while anazowa chakula chote na kuuza kwa Dola while Dola anakupa yeye nadhani hujuwo soko la Dola lipo hapo Kenya na wakifunga hapa unapumoulia machine ameshusha tamani ya Tz akupige kwenye chakula na

soko la Dola mjinga... Sorry endelea kushangilia birthday... Neno la Mungu linasema mna angamia kwa kukosa maarifa.
Duuuujuhhh..
Kumbee[emoji2962][emoji2962][emoji2962]
 
Sorry ujuwe akili yako Haina uchumi kichwani? Kenya hawana siasa kama za Tz chama dola umenisoma? Kenya anachofanya ni mchezo wa paka na panya why wao wapo mbali kwenye ujasusi wa uchumi Yani anashusha sh yake while anazowa chakula chote na kuuza kwa Dola while Dola anakupa yeye nadhani hujuwo soko la Dola lipo hapo Kenya na wakifunga hapa unapumoulia machine ameshusha tamani ya Tz akupige kwenye chakula na

soko la Dola mjinga... Sorry endelea kushangilia birthday... Neno la Mungu linasema mna angamia kwa kukosa maarifa.
Wewe kichwani ndio upo empty kabisa
 
Mambo ya kusifia ili upate teuzi yalikuwa kipindi cha jiwe mzee, ndio maana akina Katambi, Jerry Muro, Makonda wakapewa vyeo kwa kutukana upinzani
Hapa tunakuja na facts
Hawa mbumbumbu wanaodhani kila anaekubali kazi za Rais ni chawa na anataka uteuzi,huu ni upumbavu mkubwa..

Sasa sijajua kama ujanja ni kupinga na kukataa ukweli au laa..

Tunawaonesha tuu waende Kawe na Dom kazi zinaendelea 👇
 
Hawa mbumbumbu wanaodhani kila anaekubali kazi za Rais ni chawa na anataka uteuzi,huu ni upumbavu mkubwa..

Sasa sijajua kama ujanja ni kupinga na kukataa ukweli au laa..

Tunawaonesha tuu waende Kawe na Dom kazi zinaendelea 👇

Wewe unachokifanya hapa sio tu kukubali kazi za Rais bali ni zaidi ya hapo, ingekuwa kila mwenye kukubali kazi za Rais anafanya kama wewe basi watu wasingekuona wewe ni chawa.
 
Wewe unachokifanya hapa sio tu kukubali kazi za Rais bali ni zaidi ya hapo, ingekuwa kila mwenye kukubali kazi za Rais anafanya kama wewe basi watu wasingekuona wewe ni chawa.
Kwenye mitandao kumejaa wapuuzi na wajinga mnaofurahia sana kuandika habari za upotoshaji na kupinga mambo hata yaliyo wazi kisa aidha hamna cheo au mnapata shida Fulani Sasa mnasingizia Rais na Serikali..
Mimi Huwa sio chawa Nina makala za kukosoa na Kuunga juhudi so usiniweke kwenye kundi la wapuuzi..

Just imagine mtu anasema serikali imekopa til.30 kwa miaka 2 harafu hakuna kilichofanyika,huu si ni xaidi ya upumbavu? Yet wanaona Kila sekta mambo yanaenda.
 
Kwenye mitandao kumejaa wapuuzi na wajinga mnaofurahia sana kuandika habari za upotoshaji na kupinga mambo hata yaliyo wazi kisa aidha hamna cheo au mnapata shida Fulani Sasa mnasingizia Rais na Serikali..
Mimi Huwa sio chawa Nina makala za kukosoa na Kuunga juhudi so usiniweke kwenye kundi la wapuuzi..

Just imagine mtu anasema serikali imekopa til.30 kwa miaka 2 harafu hakuna kilichofanyika,huu si ni xaidi ya upumbavu? Yet wanaona Kila sekta mambo yanaenda.
Hayo mambo umeanza kuyaona watu wakiyafanya kwa Rais Samia tu huko nyuma hukuona watu wa aina hiyo wenye kuponda kila kitu? Unachokifanya ndio alichosema mwenyewe Rais Samia kuhusu hao machawa wake na kweli wewe unapambana nao wenye kumsema Rais Samia.

Niliwahi kukwambia kuwa wewe hujawai kumkosoa Rais Samia bali unakosoa watu au mambo ambao unaona wanamuharibiwa Samia ila sio kumkosoa yeye mwenyewe, kama kweli mwenyewe unakubali uongozi wa Samia shida iko wapi kuwa chawa Samia?
 
View attachment 2497979

Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,

Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza

Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.

Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Acha ujinga wewe. Kwani uchumi wa tanzania unapimwa na shilingi ya kenya tu.
 
Hayo mambo umeanza kuyaona watu wakiyafanya kwa Rais Samia tu huko nyuma hukuona watu wa aina hiyo wenye kuponda kila kitu? Unachokifanya ndio alichosema mwenyewe Rais Samia kuhusu hao machawa wake na kweli wewe unapambana nao wenye kumsema Rais Samia.

Niliwahi kukwambia kuwa wewe hujawai kumkosoa Rais Samia bali unakosoa watu au mambo ambao unaona wanamuharibiwa Samia ila sio kumkosoa yeye mwenyewe, kama kweli mwenyewe unakubali uongozi wa Samia shida iko wapi kuwa chawa Samia?
Walikuwepo ila na wale wanaokubali kazi za Rais Kwa nini muwaite majina ya kipuuzi kama chawa? Kwani Kuna ubaya ku appreciate kazi nzuri ya Rais?
 
Walikuwepo ila na wale wanaokubali kazi za Rais Kwa nini muwaite majina ya kipuuzi kama chawa? Kwani Kuna ubaya ku appreciate kazi nzuri ya Rais?
Hilo jina tu halafu hata Rais Samia mwenyewe anatambua watu aina kama yako wenye kumkubali naye ametumia hilo hilo jina la chawa, kwahiyo ni kawaida tu muhimu ni kile unachokifanya usijali hilo neno la chawa.
 
Back
Top Bottom