Tazama katika picha hii Namna wanajeshi wetu walivyofurahi na kutabasamu baada ya kuonana na Rais Samia

Tazama katika picha hii Namna wanajeshi wetu walivyofurahi na kutabasamu baada ya kuonana na Rais Samia

Mashaallah, w
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Mama yetu na Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anastahili kabisa kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Sijawahi kuona Binadamu wa namna hii aina ya Rais Samia ambaye kila mtu anatamani walau hata kugusa tu picha yake kwa furaha na tabasamu katika mabango ya barabarani na kutoa neno la shukurani Utafikiri picha ina uwezo wa kujibu.

Rais Samia anapendwa na kukubalika ni haijawahi kutokea. Mama kila akitua eneo lolote lile unaona namna watu wanavyolipuka kwa shangwe,nderemo,vifijo na kujawa na tabasamu katika nyuso zao.

Mama kila akitua sehemu unaona watu wakitamani asiondoke eneo hilo. Kila mtu anatamani aendelee kumsikiliza na kumuona tu mama huyu mwenye moyo wa upendo,ukarimu, unyenyekevu,huruma na uungwana wa hali ya juu.

Sasa embu jionee Mwenyewe namna wanajeshi katika kombati zao namna walivyofurahi na kujawa na tabasamu baada ya kuonana na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama.

Mama wa watu hana makuu wala majivuno,hana kiburi wala dharau,hana masimango wala majishauzi .kwa hakika ninajivunia sana kuongozwa na Rais Samia kama RAIS Wangu.natamani aendelee kuongoza tu muda woteTaifa hili.maana naona namna watanzania mitaani walivyo na furaha na utawala wake uliojaa haki na masikilizano.

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu,Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu,Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kwa makusudi maalumu ya kuliongoza Taifa letu.kwa hakika libarikiwe sana Tumbo lililombeba Rais Samia .maana lilibeba kiumbe kilichokuja kuleta furaha na tabasamu kwa mamilioni ya watu wa Taifa hili.View attachment 3077356

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mashaallah, Wajeda wamebubujika
 
ni furaha isiyo na kifani wallah

jisi huyu mama anavyoiendesha nchi ni kama mujiza kwa kweli ama kwa hakika nchi iko mikono salama ya mama yetu kipenzi
Ni furaha na tabasamu kila sehemu kutokana na uwepo wa Rais Samia katika usukani.
 
Mbaya zaidi unakuta hata katiba ya chama chako hujui alafu leo ndo uchawa mpaka kwenye kucha na kujifanya unaijua ccm, ichi chama kipo na wenyewe nao ndo wanajua kwamba ccm imekufa kifo kibaya sio nyie machawa wa Buza
Wenye CCM ni sisi wanachama wake.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Mama yetu na Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anastahili kabisa kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Sijawahi kuona Binadamu wa namna hii aina ya Rais Samia ambaye kila mtu anatamani walau hata kugusa tu picha yake kwa furaha na tabasamu katika mabango ya barabarani na kutoa neno la shukurani Utafikiri picha ina uwezo wa kujibu.

Rais Samia anapendwa na kukubalika ni haijawahi kutokea. Mama kila akitua eneo lolote lile unaona namna watu wanavyolipuka kwa shangwe,nderemo,vifijo na kujawa na tabasamu katika nyuso zao.

Mama kila akitua sehemu unaona watu wakitamani asiondoke eneo hilo. Kila mtu anatamani aendelee kumsikiliza na kumuona tu mama huyu mwenye moyo wa upendo,ukarimu, unyenyekevu,huruma na uungwana wa hali ya juu.

Sasa embu jionee Mwenyewe namna wanajeshi katika kombati zao namna walivyofurahi na kujawa na tabasamu baada ya kuonana na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama.

Mama wa watu hana makuu wala majivuno,hana kiburi wala dharau,hana masimango wala majishauzi .kwa hakika ninajivunia sana kuongozwa na Rais Samia kama RAIS Wangu.natamani aendelee kuongoza tu muda woteTaifa hili.maana naona namna watanzania mitaani walivyo na furaha na utawala wake uliojaa haki na masikilizano.

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu,Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu,Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kwa makusudi maalumu ya kuliongoza Taifa letu.kwa hakika libarikiwe sana Tumbo lililombeba Rais Samia .maana lilibeba kiumbe kilichokuja kuleta furaha na tabasamu kwa mamilioni ya watu wa Taifa hili.View attachment 3077356

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Institution iliyonyooka. Usione wamekaa hivyo ukafikiri wanafanya siasa. Hao siku wakitakiwa kuita spade a spade, hawasiti hata kidogo. Utakuja kushangaa. Hasa pale mambo yanapowata kufanya hivyo.
Wanasukumwa nanidhamu na mapenzi ya kweli kwa nchi yetu. Usiwachukulie poa na walishakataa kuingizwa kwenye siasa zetu za maji taka
 
Institution iliyonyooka. Usione wamekaa hivyo ukafikiri wanafanya siasa. Hao siku wakitakiwa kuita spade a spade, hawasiti hata kidogo. Utakuja kushangaa. Hasa pale mambo yanapowata kufanya hivyo.
Wanasukumwa nanidhamu na mapenzi ya kweli kwa nchi yetu. Usiwachukulie poa na walishakataa kuingizwa kwenye siasa zetu za maji taka
Wanajeshi wetu wana imani kubwa sana na uongozi wa Rais Samia na namna anavyoendesha Taifa letu. Wanaona namna anavyolinda na kuitetea katiba yetu. Wanaona namna Taifa linavyoendelea kupaa kimaendeleo.wanajionea namna ambavyo Rais wetu anaendelea kuriboresha Jeshi letu kwa kulipatia zana nzuri ,za kisasa na bora na mahitaji mengine mbalimbali yanayohitajika ili,ikiwepo maslahi mazuri ya wanajeshi wetu ili wafanye kazi kwa morali na kwa utulivu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Mama yetu na Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anastahili kabisa kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Sijawahi kuona Binadamu wa namna hii aina ya Rais Samia ambaye kila mtu anatamani walau hata kugusa tu picha yake kwa furaha na tabasamu katika mabango ya barabarani na kutoa neno la shukurani Utafikiri picha ina uwezo wa kujibu.

Rais Samia anapendwa na kukubalika ni haijawahi kutokea. Mama kila akitua eneo lolote lile unaona namna watu wanavyolipuka kwa shangwe,nderemo,vifijo na kujawa na tabasamu katika nyuso zao.

Mama kila akitua sehemu unaona watu wakitamani asiondoke eneo hilo. Kila mtu anatamani aendelee kumsikiliza na kumuona tu mama huyu mwenye moyo wa upendo,ukarimu, unyenyekevu,huruma na uungwana wa hali ya juu.

Sasa embu jionee Mwenyewe namna wanajeshi katika kombati zao namna walivyofurahi na kujawa na tabasamu baada ya kuonana na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama.

Mama wa watu hana makuu wala majivuno,hana kiburi wala dharau,hana masimango wala majishauzi .kwa hakika ninajivunia sana kuongozwa na Rais Samia kama RAIS Wangu.natamani aendelee kuongoza tu muda woteTaifa hili.maana naona namna watanzania mitaani walivyo na furaha na utawala wake uliojaa haki na masikilizano.

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu,Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu,Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kwa makusudi maalumu ya kuliongoza Taifa letu.kwa hakika libarikiwe sana Tumbo lililombeba Rais Samia .maana lilibeba kiumbe kilichokuja kuleta furaha na tabasamu kwa mamilioni ya watu wa Taifa hili.View attachment 3077356

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Hivi family yako uwa wanajua unaandikaga vitu kama hivi ?
 
Hivi family yako uwa wanajua unaandikaga vitu kama hivi ?
Kwa hiyo umeamua kuhamia kwenye Familia.? Wewe si ndio ulijifanya kunipa sana vitisho humu jukwaani kuwa niache kuandika? Vipi umechoka kutoa vitisho vyako? Au ulifikiria kuwa mimi ni akili ndogo kama uliyonayo wewe? Au ulifikiria Kuwa mimi ni mtu wa kutishiwa na nikatishika?
 
Chawa hata elimu ya uraia huna. Ni amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi, hakuna neno usalama. Mmebaki kusifia sifia huku mkiwa hamna shule.

Cheo cha amiri jeshi ni cha JWTZ na JWTZ ni chombo cha Ulinzi sio usalama.
 
Kwa hiyo umeamua kuhamia kwenye Familia.? Wewe si ndio ulijifanya kunipa sana vitisho humu jukwaani kuwa niache kuandika? Vipi umechoka kutoa vitisho vyako? Au ulifikiria kuwa mimi ni akili ndogo kama uliyonayo wewe? Au ulifikiria Kuwa mimi ni mtu wa kutishiwa na nikatishika?

Sijawahi kukutisha na Sina sababu ya kukutisha

Nilikwambia unamuongelea Rais kama unamuongelea bodaboda

Sometimes unatoa mpaka ratiba za Rais as if ww ndio msemaji wake

So nilikwambia Tu kuwa Rais ni Taasisi namba moja Tanzania

Sio kila ukilala ukiamka unakuja na topic ambayo inamhusu Rais wa inchi

Sometimes unaongea mambo ambayo watu wanaongea maneno mabaya juu ya Rais wa inchi kupitia topic zako

Unaweza kuhisi unamjenga au unajijenga kumbe unaharibu na unawapa shida watu kujenga tena

Hope umenielewa
 
Back
Top Bottom