Tazama katika Picha, Ofisi ya CHADEMA Mkoani Mbeya

Hivyo vyama vingine vina hata office za Kanda
Hata za mikoa

Ccm wanayo kwa sabubu wana dolaa

Wameridhi majengo ya Tanu ambayo yote hayo yalikuwa ya Serikali
So kaa kwa kutuliaa
 
Mwenezi wa CHADEMA umeupigs mwingi😀
 
Kwann CCM imekaa madarakan miaka mingap?? Na CHADEMA imekaa madarakan miaka mingap?? Tuanzie hapo mtoa hojaa
 
Watu weusi siku zote wapo kwenye upigaji tu. Ila CCM bado ni No 1 kwenye hizo nyanja za upigaji. ni vile tu huwa wanajichotea tu fedha za uma
 
Watu weusi siku zote wapo kwenye upigaji tu. Ila CCM bado ni No 1 kwenye hizo nyanja za upigaji. ni vile tu huwa wanajichotea tu fedha za uma
CCM ni chama safi na ndio maana kinaendelea kuaminika na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania.
 
Chawa anasumbuliwa na njaa si uje nikuajiri, usione aibu kuliko kujidhalilisha hivyo humu utafikiri huna mama sasa ulizaliwa na nani kama wewe mama wa wengine ndiyo unadandia au ulianguliwa juu ya mti kama chungwa. Bure kabisa.
 
CCM ni chama safi na ndio maana kinaendelea kuaminika na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania.
Anaye aminiwa na wapiga kura hana sababu ya kuiba kura kwa kutumia polisi na tume ya kimangungu.
Hivi lini utakuwa na akili wewe!
Hizi ndio akili ulizojaliwa na Mungu au umejizima data? Hebu kajiangalie kwenye kioo halafu iulize hiyo taswira utakayoiona mbele yako " umepatwa na nini wewe?"
 
Tapeli ni mapaja ya mama yako
 
CCM ni chama safi na ndio maana kinaendelea kuaminika na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania.
CCM ingeaminika msingeiba kura 2020 na 2019.
Na hata Sasa CCM Ina hofu haki ikitendeka itakosa zaidi ya Mahimbo 200.
Kaulize watu masokoni, kwenye daladala, makazini hata madhuleni utaona CCM ilivyoporomoka.
Kwanini mlimpiga Sugu juzi hapo mbeya Kama sio hofu, kwanini mlikataza vijana wasikutane Kama sio hofu.
 
Chawa anasumbuliwa na njaa si uje nikuajiri, usione aibu kuliko kujidhalilisha hivyo humu utafikiri huna mama sasa ulizaliwa na nani kama wewe mama wa wengine ndiyo unadandia au ulianguliwa juu ya mti kama chungwa. Bure kabisa.
Acha kupaniki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…