Tazama katika picha watu walivyomiminika na kufurika kwa wingi katika Kumpokea Rais Samia Gairo Mkoani Morogoro

Wakati wa kugawa 10k, kofia, khanga, vitenge na t-shirt imewadia. Na wananchi walivyo na utindio wa ubongo watahadaika kwa hivyo vijisenti.
Watanzania wanafahamu ni nani na chama kipi kinafaa kuwaongoza. Watanzania wanafahamu ya kuwa ni CCM na Rais Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mwenye uwezo wa kuwaongoza na kuwaletea maendeleo endelevu
 
Wengine wamesombwa na malori, wakidaiwa kuwa eti ni wahamasishaji toka Morogoro mjini!

Siyo maneno yangu, hata Mama mwenyewe aliuliza wanyooshe mikono, waliokuja toka Morogoro mjini!😅
Fiksi
 
Watanzania wanafahamu ni nani na chama kipi kinafaa kuwaongoza. Watanzania wanafahamu ya kuwa ni CCM na Rais Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mwenye uwezo wa kuwaongoza na kuwaletea maendeleo endelevu
Sawa chief, upitie Lumumba ukusanye kitita cha wiki.
 
Mbona watoto wa shule ni wengi sana?
 
Mkutano ulifanyika kwenye uwanja wa shule. Wanafunzi walikuwa wengi mno.

Pia watu walisombwa kama kawaida. Bila kusomba watu na kutumia wasanii mkutano unakuwa na watu wachache mno.
 
Mkutano ulifanyika kwenye uwanja wa shule. Wanafunzi walikuwa wengi mno.

Pia watu walisombwa kama kawaida. Bila kusomba watu na kutumia wasanii mkutano unakuwa na watu wachache mno.
Naona mnaendelea kuhamisha magoli tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…