Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Jibu swali ndugu yangu na siyo kusema habari za dawa hapa maana hakuna mgonjwa anayehitaji dawa.Dawa ya huyu jamaa alikuwa JPM
Sina namba yake ndugu yangu mtanzaniaDodosha hapa namba ya simu ya waziri Nape nimpigie aniambie alichomaanisha Kisha nikuandikie maana yake hapa.
Msigwa huyo🤣🤣🤣Ndugu zangu Watanzania,
Katika ukurasa wake wa Twitter, waziri wa habari, Mawasiliano na teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye Ameweka picha hii. Sasa ningependa kuwauliza wana jukwaa mnafikiri Mheshimiwa waziri alitaka kutoa ujumbe gani na ujumbe huo unamhusu na kumlenga nani?View attachment 3033030
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kijani ipo wapi hapo ndugu yangu au mimi ndio sioni vizuri macho yanguNaona kama joka la kijani limebanwa kiuno, linaenda kugeuka kitoweo soon.
Kafanyeje Msigwa.Msigwa huyo🤣🤣🤣
KanyakuliwaKafanyeje Msigwa.
Mbona havihusiani wala kwendana na picha ukiiangalia na hivyo ulichokisema.Amemaanisha BAO LA MKONO
Kama ulikiwa hufahamu basi maana yake ni hii hapa; Chama chako cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wako, wameanza kuyakwapua majoka yenye sumu kali kutoka upinzani.Ndugu zangu Watanzania,
Katika ukurasa wake wa Twitter, waziri wa habari, Mawasiliano na teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye Ameweka picha hii. Sasa ningependa kuwauliza wana jukwaa mnafikiri Mheshimiwa waziri alitaka kutoa ujumbe gani na ujumbe huo unamhusu na kumlenga nani?View attachment 3033030
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Amemaanisha hiviNdugu zangu Watanzania,
Katika ukurasa wake wa Twitter, waziri wa habari, Mawasiliano na teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye Ameweka picha hii. Sasa ningependa kuwauliza wana jukwaa mnafikiri Mheshimiwa waziri alitaka kutoa ujumbe gani na ujumbe huo unamhusu na kumlenga nani?View attachment 3033030
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nahisi huyo aliyejikunja miguuni ni Mnyalu mmoja anayedhani amenyakuliwa kwenda mbinguni kula raha ya mileleNdugu zangu Watanzania,
Katika ukurasa wake wa Twitter, waziri wa habari, Mawasiliano na teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye Ameweka picha hii. Sasa ningependa kuwauliza wana jukwaa mnafikiri Mheshimiwa waziri alitaka kutoa ujumbe gani na ujumbe huo unamhusu na kumlenga nani?View attachment 3033030
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.