Tazama picha hii ya Lissu upate kujua anachukuliwaje ndani ya CHADEMA

Tazama picha hii ya Lissu upate kujua anachukuliwaje ndani ya CHADEMA

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Katika picha hii unaweza kujua na kupata Picha Namna gani Lissu anachukuliwa na kiwango cha thamani na heshima yake ndani ya CHADEMA.

Hapa unaweza kuona na kutambua wazi kuwa Lissu Tangia Awali na zamani alikuwa haheshimiki wala kuthaminiwa wala kukubalika wala kwa wenzake..

Hivi unaweza vipi mpandisha Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kwenye kichanja kama hiki utafikiri mahali pa kupumzikia Kuku au Mabata?

Sasa hapa ingekuwaje kama angevunja Miguu? Vipi kama angedondoka na kutegua kiuno au Mgongo? Vipi kama angeteleza na kung'oa Meno?

Screenshot_20241223-223521_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika picha hii unaweza kujua na kupata Picha Namna gani Lissu anachukuliwa na kiwango cha thamani na heshima yake ndani ya CHADEMA.Hapa unaweza kuona na kutambua wazi kuwa Lissu Tangia Awali na zamani alikuwa haheshimiki wala kuthaminiwa wala kukubalika wala kwa wenzake..

Hivi unaweza vipi mpandisha Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kwenye kichanja kama hiki utafikiri mahali pa kupumzikia Kuku au Mabata?

Sasa hapa ingekuwaje kama angevunja Miguu? Vipi kama angedondoka na kutegua kiuno au Mgongo? Vipi kama angeteleza na kung'oa Meno?View attachment 3183575

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unamwongelea Lisu au Samia mbona hueleweki?.plain mind
 
Namuona Lissu ndani ya CCM miezi kadhaa mbele!....Wakina Mangi Maghayo hatokubali kamwe wachie chama Chao. Ni kama hadithi ya Sumaye na Zito.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika picha hii unaweza kujua na kupata Picha Namna gani Lissu anachukuliwa na kiwango cha thamani na heshima yake ndani ya CHADEMA.Hapa unaweza kuona na kutambua wazi kuwa Lissu Tangia Awali na zamani alikuwa haheshimiki wala kuthaminiwa wala kukubalika wala kwa wenzake..

Hivi unaweza vipi mpandisha Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kwenye kichanja kama hiki utafikiri mahali pa kupumzikia Kuku au Mabata?

Sasa hapa ingekuwaje kama angevunja Miguu? Vipi kama angedondoka na kutegua kiuno au Mgongo? Vipi kama angeteleza na kung'oa Meno?View attachment 3183575

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Si bora huyo, mandela aliteswa na kuwekwa gerezani, mugabe kachukua nchi toka porini, kagame vivyo hivyo, ndio maana mafisiemu mnanunuliana V8 tu na kodi zetu.
 
Kama wewe unalipwa basi usifikirie wote tunalipwa .Mimi ni msema kweli.
Mkiambiwa jamaa yule ana makengeza na anagonga BAPA km hana akili nzuri mnaanza ooh muogope Mungu sijui kufanya nini hujafa hujaumbika na nini sijui na wewe hujui lini utakua kilema na ukuda mwingine usioleweka, acheni usengerema
 
Sasa ulitaka nani amjengee jukwa?
Anunue jukwaa awe anazunguka nalo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika picha hii unaweza kujua na kupata Picha Namna gani Lissu anachukuliwa na kiwango cha thamani na heshima yake ndani ya CHADEMA.

Hapa unaweza kuona na kutambua wazi kuwa Lissu Tangia Awali na zamani alikuwa haheshimiki wala kuthaminiwa wala kukubalika wala kwa wenzake..

Hivi unaweza vipi mpandisha Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kwenye kichanja kama hiki utafikiri mahali pa kupumzikia Kuku au Mabata?

Sasa hapa ingekuwaje kama angevunja Miguu? Vipi kama angedondoka na kutegua kiuno au Mgongo? Vipi kama angeteleza na kung'oa Meno?

View attachment 3183575

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hakuna hoja hapo, kwani kupanda hapo tatizo ni nn
 
Back
Top Bottom