Pre GE2025 Tazama Video Watu wamiminika na kufurika kwa Rais Samia mpaka Aamua kujipiga picha kwa furaha

Pre GE2025 Tazama Video Watu wamiminika na kufurika kwa Rais Samia mpaka Aamua kujipiga picha kwa furaha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kuna watu wamama wa sisiemu wameunda mavikundi ya chawa wanataka wam recruit na wife et jmos kuna safar ya dodoma usafari kwenda na kurud bure ili kumuhadaa bimkubwa kwamba ni kipenz cha watu kumbe watu wanapewa posho kwenda kumshangilia hatendewi haki kabisa amir jesh mkuu wetu
Acha uongo wako hapa wewe. Najuwa mafuriko ya watu kwenye mikutano ya Mama yamewachanganyeni sana Ma CHADEMA
 
Luca mama na ccm hawawezi kukupa teuzi,hata wao wanaona kabisa kichwa chako kimebeba takataka na ndani ya ccm hawataki kuongeza tataka nyingine.
 
Luca mama na ccm hawawezi kukupa teuzi,hata wao wanaona kabisa kichwa chako kimebeba takataka na ndani ya ccm hawataki kuongeza tataka nyingine.
Acha kuweweseka ndugu yangu.ungetumia muda huu kuonana na daktari wa magonjwa ya moyo.maana naona presha yako ipo juu sana.
 
Najiuliza kama watanzania wa 2024 wapo na uzuzu hivi ... Je wa 1961 walikuwaje? tuna safari ndefu sana
Watanzania wanajitambua vyema sana na wanatambua ni nani aliye mtetezi wao na msaada wao.Watanzania wanafahamu ya kuwa ni Rais Samia na CCM ndiyo pekee watetezi na msaada katika maisha yao.ndio maana wanamuunga mkono kwa nguvu zote Rais Samia na CCM.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Haya ni mahaba kwa Rais Samia ambayo watanzania wanampatia Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Hii haijawahi kutokea popote pale Barani Afrika kwa Kiongozi kupendwa kiasi hiki mpaka watu wanaishiwa nguvu za kusimama kutokana na kuzidiwa na furaha na upendo kwa Rais Samia. Kwa hakika Rais Samia ni chaguo la Mungu Mwenyewe.huyu siyo mtu wa kawaida.katika jicho la kiroho inaonyesha namna Mungu alivyo pamoja na Rais Samia.


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Machozi yatububujika!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Haya ni mahaba kwa Rais Samia ambayo watanzania wanampatia Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Hii haijawahi kutokea popote pale Barani Afrika kwa Kiongozi kupendwa kiasi hiki mpaka watu wanaishiwa nguvu za kusimama kutokana na kuzidiwa na furaha na upendo kwa Rais Samia. Kwa hakika Rais Samia ni chaguo la Mungu Mwenyewe.huyu siyo mtu wa kawaida.katika jicho la kiroho inaonyesha namna Mungu alivyo pamoja na Rais Samia.


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Vua chupi apite na wewe chapu. Jinga wewe.mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Alianza kuweka namba ya simu, sasa hivi anaweka majina yake matatu yote, soon tutarajie namba yake ya NIDA ila jamaa wamemfungia vioo kama hawamuoni.

Wakiendelea kumpuuza atafungua ID mpya aje kuwatukana humu kama hajafungua bado.
Hahaaaaa
 
Back
Top Bottom