Pre GE2025 Tazama Video Watu wamiminika na kufurika kwa Rais Samia mpaka Aamua kujipiga picha kwa furaha

Pre GE2025 Tazama Video Watu wamiminika na kufurika kwa Rais Samia mpaka Aamua kujipiga picha kwa furaha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii tumepigwa watanganyika kwa KIZIMKAZI aka CHURA.







KAZI ni kipimo cha UTU
 
Alianza kuweka namba ya simu, sasa hivi anaweka majina yake matatu yote, soon tutarajie namba yake ya NIDA ila jamaa wamemfungia vioo kama hawamuoni.

Wakiendelea kumpuuza atafungua ID mpya aje kuwatukana humu kama hajafungua bado.
Huyu vuvuzela alianza kumsifia Rango mwanzoni naona posho hakuongezewa akasusa.

Akaanza kumsifia Makonda alivyopigwa chini kwenye uenezi naona posho zikakatwa.

Akahamia kwa Kafulila napo akawa kwenye list ya machawa aliomwaga Kafulila kumsifia naona huku ndio anajipatia mkate wake wa kila siku.

Wazazi msomeshe watoto wenu wasije kuwatia aibu kama hivi mtu anaandika gazeti refu kumbe ndani kumejaa upumbavu mtupu.
 
Alianza kuweka namba ya simu, sasa hivi anaweka majina yake matatu yote, soon tutarajie namba yake ya NIDA ila jamaa wamemfungia vioo kama hawamuoni.

Wakiendelea kumpuuza atafungua ID mpya aje kuwatukana humu kama hajafungua bado.
Huyu vuvuzela alianza kumsifia Rango mwanzoni naona posho hakuongezewa akasusa.

Akaanza kumsifia Makonda alivyopigwa chini kwenye uenezi naona posho zikakatwa.

Akahamia kwa Kafulila napo akawa kwenye list ya machawa aliomwaga Kafulila kumsifia naona huku ndio anajipatia mkate wake wa kila siku.

Wazazi msomeshe watoto wenu wasije kuwatia aibu kama hivi mtu anaandika gazeti refu kumbe ndani kumejaa upumbavu mtupu.
 
Tuendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Kuunga mkono kwa lipi? Kwenda kukopa na kujenga madarasa,zahanati na vyoo?
Hali ni tete ,unaendelea kushabikia ulemavu wa umaskini?
 
Hivi wewe lucas unajisikiaje/unajionaje watu wooote wanapokuwa kinyume na wewe! Yani hakuna anaekusapoti!!
Na hubadiriki!
Una roho ngumu wewee!
Unapambana wewee! Una balaa wewe!
Elimu ,elimu elimu.
 
Nchi Ina vituko!
Hapo bashe kapiga matrekta 600 , picha ya mama inabadikwa hapo.
 

Attachments

  • IMG-20240808-WA0051.jpg
    IMG-20240808-WA0051.jpg
    86.2 KB · Views: 1
Huyu vuvuzela alianza kumsifia Rango mwanzoni naona posho hakuongezewa akasusa.

Akaanza kumsifia Makonda alivyopigwa chini kwenye uenezi naona posho zikakatwa.

Akahamia kwa Kafulila napo akawa kwenye list ya machawa aliomwaga Kafulila kumsifia naona huku ndio anajipatia mkate wake wa kila siku.

Wazazi msomeshe watoto wenu wasije kuwatia aibu kama hivi mtu anaandika gazeti refu kumbe ndani kumejaa upumbavu mtupu.
Mimi siyo chawa.
 
Mimi Sitafuti uteuzi ndugu yangu.mimi ni Mzalendo naye fanya kazi kwa kujitolea na kwa hiyari kabisa
Mzalendo na unafiki wapi na wapi? Fanya hivi drop namba tukuwekee chochote kitu maana unapambana sana licha ya raia kukufungia vioo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Haya ni mahaba kwa Rais Samia ambayo watanzania wanampatia Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Hii haijawahi kutokea popote pale Barani Afrika kwa Kiongozi kupendwa kiasi hiki mpaka watu wanaishiwa nguvu za kusimama kutokana na kuzidiwa na furaha na upendo kwa Rais Samia. Kwa hakika Rais Samia ni chaguo la Mungu Mwenyewe.huyu siyo mtu wa kawaida.katika jicho la kiroho inaonyesha namna Mungu alivyo pamoja na Rais Samia.


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Shida ni pale yanaongelewa ya uongo na Mtu akaamini ni ukweli.
 
Alianza kuweka namba ya simu, sasa hivi anaweka majina yake matatu yote, soon tutarajie namba yake ya NIDA ila jamaa wamemfungia vioo kama hawamuoni.

Wakiendelea kumpuuza atafungua ID mpya aje kuwatukana humu kama hajafungua bado.
Mcheza kwao hutunzwa.
 
Back
Top Bottom