masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Kwa kweli sielewi. Kama ni hujuma basi ni kubwa sana. Kwamba Serikali haioni jinsi malori ya wafanyabiashara wanavyoirarua babara ya TANZAM , haingii akilini.
Kwamba Serikali haioni jinsi TAZARA inavyozidi kudorora huku mizigo inachukuliwa na wafanyabiashara, haingii akilini.
Wafanyabiashara wa usafirishaji na viongozi fulani inaelekea wako dugu moja.
Kwamba Serikali ipo, na viongozi wapo na hakuna hatua yoyote inachukuliwa, haingii akilini.
Lawama zangu ni kwa viongozi wangu, tena wa kitaifa.
Ukweli na Uwazi.
Kwamba Serikali haioni jinsi TAZARA inavyozidi kudorora huku mizigo inachukuliwa na wafanyabiashara, haingii akilini.
Wafanyabiashara wa usafirishaji na viongozi fulani inaelekea wako dugu moja.
Kwamba Serikali ipo, na viongozi wapo na hakuna hatua yoyote inachukuliwa, haingii akilini.
Lawama zangu ni kwa viongozi wangu, tena wa kitaifa.
Ukweli na Uwazi.