mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Hatutaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana hii ni geresha wanawaaminisha watu wakae majumbani kufuatilia kwenye tv halafu baadae wakate matangazo,lengo likiwa wahudhuriaji wa uzinduzi wawe wachache
Jiandae kuona hotuba za makamanda zikikatwakatwa hovyo.
😂😂😂😂😂😂Tena bila sauti.
hamtaki kuambiwa ukweli, TL anasema Jiwe kajenga uwanja wa ndege wa kimataifa kwao Chato wakati marais wote waliomtangulia hawajawahi kufanya hivyo...matusi ni yapi hapo?!.Watakata matusi!
Demokrasia imetamalaki!
aa wapi!Wakuu nawasalimu wote,
Nimeona kwenye page ya tbc wakitoa taarifa kuwa watarusha mkutano mkubwa wa kihistoria uzinduzi wa kampeni jijini DSM
===
TBC1 leo tutakuwa mbashara katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka viwanja vya Mbagala Zakhiem jijini Dar es Salaam.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara pia kupitia tovuti (tbc.go.tz), App (TBC Live) na YouTube (TBCOnline).
View attachment 1550441
Dawa ni kutoongea ovyoJiandae kuona hotuba za makamanda zikikatwakatwa hovyo.
Uchochezi upi? Kuikosoa CCM siyo uchochezi na TBC wanalipwa mishahara kwa pesa za watanzania wote hawapaswi kubagua vyama vya upinzaniTBC1 wako na weledi vichwani hawawezi kurusha kauli za kichochezi za tundu live
Uko sahihi kabisa. Wanapunguza watu uwanjani ili kati kati ya matangazo wakate steamInawezekana hii ni geresha wanawaaminisha watu wakae majumbani kufuatilia kwenye tv halafu baadae wakate matangazo,lengo likiwa wahudhuriaji wa uzinduzi wawe wachache
Na hasa akiongelea chato Airport na ile mbuga ya kulazimishwa ambayo wanyama wote wameliwa na wanavijiji vya jirani wanaelekea kuisha na kuchukua fuso kwenda serengeti kubeba wengine kuwaleta humoaa wapi!
watakata Tundu Lissu akishaanza kushusha nondo.....
Ha ha ha ha ha haKutangaza kurusha 'live' ni Suala moja na kuachia Tundu Lissu ateme 'Cheche' zake Kali kwa 'Mabosi' wa TBC ambao ni CCM ni jambo jingine pia.
Chadema hamna jema aisee.Inawezekana hii ni geresha wanawaaminisha watu wakae majumbani kufuatilia kwenye tv halafu baadae wakate matangazo,lengo likiwa wahudhuriaji wa uzinduzi wawe wachache