Kurusha sawa Ila Ile Tabia ya mitambo kukatakata ndo itakuwa kero,tuombe Mungu mitambo na hari ya hewa isiwe kikwazo watanzania Wana hamu yakusikia wasiyoyasikia kwa miaka Mitano,riport za cag, namna rushwa ilivyoshughurikiwa, namna Hali zawananchi zilivyo Sasa, uchumi wa nchi Deni la taifa tunataka kujua Kila mmoja anadaiwa shingapi, mwisho namuhimu kabisa tunataka kumsikia atatufanyia Nini sisi watanzania atatumia njia gani kutatua matatizo yetu sisi watanzania ambayo yameshindwa kutatuliwa na CCM kwa miaka 50 Sasa,, atawezaje kufanya elimu yetu iwe ya kujiajili, atawezaje kufanya kuwe na kilimo Cha biashara,atawezaje kupunguza mfumuko wabei nchini,atafanyaje kumaliza tatizo la afya Bora,maji,ajira, Kodi,kupunguza ukuaji wa Deni la taifa, rushwa, naatawezaje kuifanya iwe kituo chakibiashara kutokana na wingi wa bandari tulizonazo, aseme kwanini tunatumia gharama kubwa kuvuta umeme na maji wakati tunaripia gharama zakuutumia, aseme atafanyaje kupunguza tozo kubwa bandarini ,mwisho aseme tutawezaje kupata Kodi japo asilimia30 kwa madini yetu, aseme kwanini anaekopeshwa kusoma nimtoto wamasikini wakati uhakika wakulipa Hana tunatamani kusikia wasio nakipato wasome bure na wenye kipato ndio wakopeshwe elimu, namengine mengi maana dah!!!!