TBC mmedanganya. Nyerere hakuwa wa kwanza Afrika kustaafu kwa hiari

TBC mmedanganya. Nyerere hakuwa wa kwanza Afrika kustaafu kwa hiari

Chanzo chako cha habari ni kipi?
Chanzo changu cha habari hii ya uongo ni TBC wenyewe.

Kwenye vipindi vyao vya kumbukizi ya kifo cha Nyerere. Wanampa sifa za uongo.

Wakampa na sifa za kututafutia warithi wake. Wakamhoji Jakaya Kikwete.

Kikwete akasema, wakati anatajwa tajwa kuwa mgombea, 1995, Julius Nyerere akamwita privately. Akamwambia NENDA KAMTAFUTE MKAPA, NIMETUMA UJUMBE HAJIBU, SIMPATI, MWAMBIE NAMTAKA YEYE AWE NEXT PRESIDENT!

Kikwete akakoma kuringa. Akaenda kumpa ujumbe Mkapa.

Sasa, we ushatoka madarakani. Umetawala miaka 24 plus 5 ya Mwinyi administration, maana wewe ni CCM Chairman na chama kimeshika hatamu, one party authoritarian state.


Unaondoka unataka bado utuchagulie favorite wako wewe, atakaeendeleza mambo yako wewe, wakati sisi tunabadili Rais kwa saab tunataka mabadiko, na sisi ni demokrasia ya kujichagulia wenyewe. Hiyo inakuwaje ni sifa nzuri ya kiongozi mstaafu ????????
 
Mm naona hapo walikosea walikosea lugha tu. ilitakiwa waseme yeye ndio rais wa kwanza Tanzania kustaafu kwa hiali.
 
Chanzo changu cha habari hii ya uongo ni TBC wenyewe.

Kwenye vipindi vyao vya kumbukizi ya kifo cha Nyerere. Wanampa sifa za uongo.

Wakampa na sifa za kututafutia warithi wake. Wakamhoji Jakaya Kikwete.

Kikwete akasema, wakati anatajwa tajwa kuwa mgombea, 1995, Julius Nyerere akamwita privately. Akamwambia NENDA KAMTAFUTE MKAPA, NIMETUMA UJUMBE HAJIBU, SIMPATI, MWAMBIE NAMTAKA YEYE AWE NEXT PRESIDENT!

Kikwete akakoma kuringa. Akaenda kumpa ujumbe Mkapa.

Sasa, we ushatoka madarakani. Umetawala miaka 24 plus 5 ya Mwinyi administration, maana wewe ni CCM Chairman na chama kimeshika hatamu, one party authoritarian state.


Unaondoka unataka bado utuchagulie favorite wako wewe, atakaeendeleza mambo yako wewe, wakati sisi tunabadili Rais kwa saab tunataka mabadiko, na sisi ni demokrasia ya kujichagulia wenyewe. Hiyo inakuwaje ni sifa nzuri ya kiongozi mstaafu ????????
Kuweka rekodi sawa ni kwamba, Mwl Nyerere alikuwa mwenyekiti wa ccm kwa miaka miwili tu ya utawala wa Mwinyi 1986/1987 na wala sio miaka mitano.
 
Tunaambiwa Tanzania ilipata Uhuru tarehe 09.12.1961!

Wanaendelea kutudanganya!
 
Mm naona hapo walikosea walikosea lugha tu. ilitakiwa waseme yeye ndio rais wa kwanza Tanzania kustaafu kwa hiali.

Hata hiyo hiari yenyewe ni hoja tata.

Nyerere hakuachia madaraka. Alitolewa na Katiba, alimaliza muhula wa madaraka yake. Utasemaje katoka kwa hiari ????

Aliyetoka kwa hiari ni Edward Lowassa, na Ali Hassan Mwinyi akiwa waziri - katikati ya vipindi vyao vya kuchaguliwa.

Uenyekiti wa CCM 1987 Nyerere alitoka kwa hiari. Lakini sio Urais.

Huyo mwamba wa Senegal, na wa Cameroon, wao walitoka katikati ya vipindi vyao, kwa hiari! TRUE HIARI!

Sio hiari feki za Nyerere.
 
TBC kama vilivyo vyombo vyetu vingi vya Habari na uvivu wa kufanya research na zaidi kujikita kwenye Propaganda.
 
hili jambo la kumbukizi,libakie mikononi mwa familia yake...haiwezekani kifo chamtu mmoja kiendelee kuathiri vizazi vingine
 
Sijui hawa wafanyakazi wanawatoa wapi. Kwa teknologia iliyopo sasa yani mtu anashindwa ata kugoogle kupata uhakika wa habari anayotaka kutoka. Tutadanganywa mengi sana. Halafu chombo cha taifa bora ingekuwa blog ya mtu binafsi.
 
Back
Top Bottom