TBC mmedanganya. Nyerere hakuwa wa kwanza Afrika kustaafu kwa hiari

TBC mmedanganya. Nyerere hakuwa wa kwanza Afrika kustaafu kwa hiari

MHESHIMIWA Léopold Sédar Senghor
Rais kwa kwanza wa Senegal
Alistaafu kwa hiari December 1980


MHESHIMIWA Ahmadou Babatoura Ahidjo
Rais wa kwanza wa Cameroon
Alistaafu kwa hiari November 1982
TBC ni kiwanda cha fix.
Kipindi cha awamu ya 5 kuna yule mtangazaji wa habari saa 2 usiku anaitwa Zakaria alitangazia dunia kuwa Trump kampongeza Magufuli kumbe ulikuwa uongo mtupu.
 
Ule nijuwavyo ni ibada ya kishetani inayotumika na wakatoliki. Inaweza kuw lengi ni hilohilo usemalo.
Sina hakika kama ni la Kikatoliki may be you are right but the problem is, waliomshauri Nyerere kuhusu mwenge huo mbona walikua ma sheikh wa pale Bagamoyo? Anyway, tofauti ya Uislamu na Ukatoliki ni majina na lugha tu
 
Chanzo changu cha habari hii ya uongo ni TBC wenyewe.

Kwenye vipindi vyao vya kumbukizi ya kifo cha Nyerere. Wanampa sifa za uongo.

Wakampa na sifa za kututafutia warithi wake. Wakamhoji Jakaya Kikwete.

Kikwete akasema, wakati anatajwa tajwa kuwa mgombea, 1995, Julius Nyerere akamwita privately. Akamwambia NENDA KAMTAFUTE MKAPA, NIMETUMA UJUMBE HAJIBU, SIMPATI, MWAMBIE NAMTAKA YEYE AWE NEXT PRESIDENT!

Kikwete akakoma kuringa. Akaenda kumpa ujumbe Mkapa.

Sasa, we ushatoka madarakani. Umetawala miaka 24 plus 5 ya Mwinyi administration, maana wewe ni CCM Chairman na chama kimeshika hatamu, one party authoritarian state.


Unaondoka unataka bado utuchagulie favorite wako wewe, atakaeendeleza mambo yako wewe, wakati sisi tunabadili Rais kwa saab tunataka mabadiko, na sisi ni demokrasia ya kujichagulia wenyewe. Hiyo inakuwaje ni sifa nzuri ya kiongozi mstaafu ????????
Kama rais atatoka chama kile kile Cha aliyestahafu tegemea kuongozwa tu na waliotangulia hiyo ipo Africa nzima.
 
Wanaofikiri alistaafu kwa hiari ni wale waliokuwa wanasikiliza RTD tu
 
Ule nijuwavyo ni ibada ya kishetani inayotumika na wakatoliki. Inaweza kuw lengi ni hilohilo usemalo.
Forojo Ganze mchawi mwanzisha mwenge na mashekh wenzake wa pwani ndiyo waasisi wa hiyo ibada ya kishetani

 
Sina hakika kama ni la Kikatoliki may be you are right but the problem is, waliomshauri Nyerere kuhusu mwenge huo mbona walikua ma sheikh wa pale Bagamoyo? Anyway, tofauti ya Uislamu na Ukatoliki ni majina na lugha tu
Huyo siyo "Sheikh" atakayeamuru nyerere awafanyishe Watanzania ibada ya kishetani.

Unamaana alikuwa poyoyo kiasi cha kuambiwa ingia motoni na yeye anakubali?
 
Back
Top Bottom