TBC mmedanganya. Nyerere hakuwa wa kwanza Afrika kustaafu kwa hiari

TBC ni kiwanda cha fix.
Kipindi cha awamu ya 5 kuna yule mtangazaji wa habari saa 2 usiku anaitwa Zakaria alitangazia dunia kuwa Trump kampongeza Magufuli kumbe ulikuwa uongo mtupu.
 
Ule nijuwavyo ni ibada ya kishetani inayotumika na wakatoliki. Inaweza kuw lengi ni hilohilo usemalo.
Sina hakika kama ni la Kikatoliki may be you are right but the problem is, waliomshauri Nyerere kuhusu mwenge huo mbona walikua ma sheikh wa pale Bagamoyo? Anyway, tofauti ya Uislamu na Ukatoliki ni majina na lugha tu
 
Kama rais atatoka chama kile kile Cha aliyestahafu tegemea kuongozwa tu na waliotangulia hiyo ipo Africa nzima.
 
Wanaofikiri alistaafu kwa hiari ni wale waliokuwa wanasikiliza RTD tu
 
Ule nijuwavyo ni ibada ya kishetani inayotumika na wakatoliki. Inaweza kuw lengi ni hilohilo usemalo.
Forojo Ganze mchawi mwanzisha mwenge na mashekh wenzake wa pwani ndiyo waasisi wa hiyo ibada ya kishetani

 
Sina hakika kama ni la Kikatoliki may be you are right but the problem is, waliomshauri Nyerere kuhusu mwenge huo mbona walikua ma sheikh wa pale Bagamoyo? Anyway, tofauti ya Uislamu na Ukatoliki ni majina na lugha tu
Huyo siyo "Sheikh" atakayeamuru nyerere awafanyishe Watanzania ibada ya kishetani.

Unamaana alikuwa poyoyo kiasi cha kuambiwa ingia motoni na yeye anakubali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…