Huyu mkurugenzi wa TBC kwakweli
Amefeli sana kuiboresha iyo televisheni,, yaan kuna muda unasikia sauti tu picha uhoni kabisa,, acha mambo mengine mengi ya ovyoovyo,, yaan hata WASAFI TV ina ubora kuliko TBC
Mkurugenzi ni
"mungu" mtu.
Huyu Jamaa amefeli tangu awali, TBC imemfia mkononi.
Jiwe akipona toka kwenye kilichompata huko kusini kwa kina NAPPE atakuwa kashika adabu, kule kanda ya SUMBAWANGA NA KATAVI alikuwa anatembea kwenye ziara yake na MA-GAMBOSHI "WAchawi na waganga" ambao walikuwa wanazuia asifanyiwe , ila SHIKAMOO MKURUGENZI TOKA MAREKANI ,JIWE ALISEMA UMETOKA MAREKANI KUFANYA UPUUZZI UKAMUONYESHA WEWE SI WA MCHEZO MCHEZO.
BACK TO TBC:
AYOUB RYOBA ambaye infact anasadikika ametumia cheo chake kutumia watoto wa internship kimapenzi, na hata watangazaji wengi, siwataji majina kulinda ndoa zao, amekuwa akikalia proposal toka kitengo cha manunuzi na kitengo cha HABARI.
Hakuna uwazi katika mali za TBC na inaonekana kuna MAGAZI YA SERIKALI YANA NAMBA MBILI MBILI, MFANO ILE VX nayotumia ina STL NA PIA INA NAMBA BINAFSI HUWA ANAWEKA AKITAKA KUTUMIA KWA MAMBO YAKE , HASA KWENYE MAHOTELI NA WATOTO WADOGO.
Pale TBC amepaki BMW , haijulikani ni ya nani maana ina namba za serikali na wakati mwengine binafs.
KUNARANGE ROVER OLD MODEL, the same.
TAKUKURU, TISS wamelala tu, sijui nguvu gani inatumiwa na huyu bwana, uchunguzi ufanyike, RC MAKONDA kama ulivamia clouds unashindwaje kuvamia TBC na kukagua?
MAKONDA kumbuka sasa kiki zako zimeisha, kilichobaki kwako ni sehemu kama TBC ukawanyooshe na utapata kiki.
Just a day utarudi kwenye kiki zako za kijinga,