[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii inamaanisha kuwa 'msitu ni mpya ila komba ni walewale'
BORA HATA MSITU UNGEKUWA MPYA, YAANI MSITU NI ULE ULE NA NYANI NI WALE WALE WAMEJIFUNIKA USO KWA VIGANJA VYA MIKONO YAO N KUJIDAI ETI NI NYANI WAGENIHii inamaanisha kuwa 'msitu ni mpya ila komba ni walewale'
[emoji23][emoji23][emoji23]BORA HATA MSITU UNGEKUWA MPYA, YAANI MSITU NI ULE ULE NA NYANI NI WALE WALE WAMEJIFUNIKA USO KWA VIGANJA VYA MIKONO YAO N KUJIDAI ETI NI NYANI WAGENI
Unataka useme wameshikiliwa kama policcmHatuweZ kuwalaumu tBC,
Hapa tuwe wavumilivu hadi mhula wa huyu jamaa uishe.
Swahiba bado sijaona maoni yako hapa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu sasa huoni kama huo uchafu let's say tb1 utakaokuwa unaonyesha mbwembwe za watawala utakosa watazamaji kama ilivyo sasa?Hizo ni international versions za hizo tv. Bbc wana bbc kadhaa nafikiri ipo inayoonyeshaga lotteries za kule kwao. Kuna mdau kawashauri wawe na tbc1, 2, 3 kwa audience tofauti.
Tofautisha kati ya kuchagua na kuchaguliwa comredy.Tunakumbushana tu,
Leo ni tarehe 25-10-2018. Tarehe kama hii miaka mitatu nyuma tulipiga kura kuchagua haya maisha.
Mara ya mwisho kutazama tbc ilikua ufunguzi wa daraja la Mfugale
Kumbe wafuatiliaji wazuri sasa kipi wamekirekebisha? Kwangu Mimi kila chombo Cha Taifa kinachoegemea upande mmoja bila kujali wadau walio wengi ambao ni wananchi nakitoa thamani, tumelalamika sana humu na wahusika wamo humu hakuna mabadiliko Sasa wanataka nini tena. Tutaendelea kuangalia futuhi wao waendeleeni na vipindi vyao.Ndugu WanaJF,
Kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi na hata hapa JF kuhusiana na changamoto ya vipindi vya Televisheni ya Taifa (TBC1). Malalamiko hayo yameegemea zaidi katika eneo la ubora wa vipindi na ubunifu.
Kwa bahati nzuri, Mkurugenzi pamoja na Watendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ni wadau wakubwa wa JamiiForums na huwa wanafuatilia taarifa na mijadala mbalimbali inayoendelea hapa. Hivyo tukiitumia vyema nafasi hii, tutawasaidia kuboresha maeneo ambayo yanatakiwa kurekebishwa kwa haraka.
Naomba tutumie uzi huu kutoa maoni, ushauri na mapendekezo kuhusu aina ya vipindi na ubunifu ambao ukitumiwa utasaidia kuifanya televisheni hii ya taifa kuvutia kutazamwa na kufurahiwa.
Tumeshalalamika sana. Sasa ni wakati wa kuchukua hatua na kutaja suluhu kwa mifano ili kuimaliza changamoto hii kabisa.
Karibuni sana.
Ubora wa picha labda sina uhakika maana Mimi hata siiangaliiTBC mpya???!.....Ina upya gani??!
Unaendeleza malalamiko.
Nimeiangalia leo ni wingu nzito kama kawaida hata picha hazionekani vizuri!!Ubora wa picha labda sina uhakika maana Mimi hata siiangalii
Wezi wale na CCM yaoMazee ndo yamejazana....
Taarifa ya habari utadhani watangazaji wamekaa kuzimu....giza si giza...mazee tuu ndo yanatangaza
Kama malalamiko tayari yao na yanajulikana unataka nn tena hapa? Si uyafanyie ka, i hayo malalamiko? Kweli CCM wana akili za kuzimu!!Nimepitia maoni. Nasikitika kwamba bado wengi mmejikita kwenye kulalamika zaidi badala ya kupendekeza angalau program ideas ili kulimaliza tatizo.
Nyuzi za malalamiko zipo nyingi sana na tayari yanafahamika. So nasisitiza tujielekeze zaidi kwenye mapendekezo kuhusu kinachotakiwa kufanywa huku tukitoa ideas ambazo zinaweza kufanyiwa kazi.
TBC ni mali yetu sote. Ni lazima tutoe mawazo yanayojenga ili ifanikiwe.
Naelewa tuko disappointed kwa sababu ya itikadi zetu na jinsi tunavyohisi hakuna fairness, lakini tuweke grudges pembeni na tuelekeze njia sahihi ya kupita.
Tusilalamike tu ili kuponya nafsi zetu. Tutoe constructive ideas ili kuiponya TBC yetu.