TBC ni TV ya waislam na wakristo wakatoliki?

TBC ni TV ya waislam na wakristo wakatoliki?

Sijawahi kuona mahubiri ya wapentekoste CPCT kwenye hizi media, walau jana jumamosi kuna kipindi kinaitwa maranatha ni cha wasabato hurushwa TBC. Ifike muda TBC isionekane inarusha ibada za wakatoliki na waislam tu haipendezi wafanye mabadiliko ya kurusha ibada za makanisa yote
Ilipaswa wasirushe kabisa. Kazi ya kutangaza dini ziachiwe taasisi husika
 
Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?
Ngoja nipite kimya maana sisi watu wengine hatuchelewi kutukana tunapokutana na watu waliojaza kinyesi kwenye UBONGO,
 
Sijawahi kuona mahubiri ya wapentekoste CPCT kwenye hizi media, walau jana jumamosi kuna kipindi kinaitwa maranatha ni cha wasabato hurushwa TBC. Ifike muda TBC isionekane inarusha ibada za wakatoliki na waislam tu haipendezi wafanye mabadiliko ya kurusha ibada za makanisa yote
Unajua idadi ya Waislamu Nchi nzima na unajua idadi ya Wasabato Nchi nzima na hao Wakatoliki unajua idadi yao Nchi nzima ni kiasi gani? Kuna sehemu ukienda hukuti msabato hata mmoja nenda Kilwa hapo ukajione wewe unafananisha million 40 na laki 3 una akili?
 
Binafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC

Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ?

Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe kupitia television ya umma au ni tabia ya kijinga tu ya uongozi wa TBC na serikali kulifungamanisha hili taifa na hizi dini mbili Uislam na Ukristo ?

Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?

Na hawa waislam na wakristo kwani wao wenyewe hawana television zao binafsi za kurusha maudhui yao huko na sio kwenye television ya umma ?
Peleka shauri mahakamani
 
Unajua idadi ya Waislamu Nchi nzima na unajua idadi ya Wasabato Nchi nzima na hao Wakatoliki unajua idadi yao Nchi nzima ni kiasi gani? Kuna sehemu ukienda hukuti msabato hata mmoja nenda Kilwa hapo ukajione wewe unafananisha million 40 na laki 3 una akili?
akili ipo, wachache pia wapate coverage ya ibada zao
 
Unajua idadi ya Waislamu Nchi nzima na unajua idadi ya Wasabato Nchi nzima na hao Wakatoliki unajua idadi yao Nchi nzima ni kiasi gani? Kuna sehemu ukienda hukuti msabato hata mmoja nenda Kilwa hapo ukajione wewe unafananisha million 40 na laki 3 una akili?
wapentekoste wameongezeka elewa hilo, tuone ibada zao
 
Ngoja nipite kimya maana sisi watu wengine hatuchelewi kutukana tunapokutana na watu waliojaza kinyesi kwenye UBONGO,
Sasa kama akili huna utachangia nini sasa zaidi ya kujiaibisha tu ?!.
 
Kanisa katoliki ndio linaitawala Tanzania kwa hivyo ni muhimu maudhui yake kurushwa kwenye televisheni ya taifa ili kuteka nyara fikra na kubadili mawazo ya wana wa nchi hii yawe katika mlengo wanaoutaka wao ni kama tu maudhui ya CCM yanavyopewa air time ya kutosha TBC

Tumsifu yesu Kristo @
 
Back
Top Bottom