Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hayo maturubai si watakuwa wanashinda kwenye maturubaiWalokole nao wangepewa airtime shida wana madhehebu elfu 30
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maturubai si watakuwa wanashinda kwenye maturubaiWalokole nao wangepewa airtime shida wana madhehebu elfu 30
Achana na king'amuzi cha Star times kina free channel hiyo moja tu mkuuNdio ni lazima niangalie kwa sababu ni ya taifa na sio binafsi ya kikundi au jamii fulani
Ilipaswa wasirushe kabisa. Kazi ya kutangaza dini ziachiwe taasisi husikaSijawahi kuona mahubiri ya wapentekoste CPCT kwenye hizi media, walau jana jumamosi kuna kipindi kinaitwa maranatha ni cha wasabato hurushwa TBC. Ifike muda TBC isionekane inarusha ibada za wakatoliki na waislam tu haipendezi wafanye mabadiliko ya kurusha ibada za makanisa yote
Ngoja nipite kimya maana sisi watu wengine hatuchelewi kutukana tunapokutana na watu waliojaza kinyesi kwenye UBONGO,Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?
Hii haipaswi kuwa kazi ya television ya taifa kutangaza dini za watuWalokole nao wangepewa airtime shida wana madhehebu elfu 30
Unajua idadi ya Waislamu Nchi nzima na unajua idadi ya Wasabato Nchi nzima na hao Wakatoliki unajua idadi yao Nchi nzima ni kiasi gani? Kuna sehemu ukienda hukuti msabato hata mmoja nenda Kilwa hapo ukajione wewe unafananisha million 40 na laki 3 una akili?Sijawahi kuona mahubiri ya wapentekoste CPCT kwenye hizi media, walau jana jumamosi kuna kipindi kinaitwa maranatha ni cha wasabato hurushwa TBC. Ifike muda TBC isionekane inarusha ibada za wakatoliki na waislam tu haipendezi wafanye mabadiliko ya kurusha ibada za makanisa yote
Peleka shauri mahakamaniBinafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC
Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ?
Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe kupitia television ya umma au ni tabia ya kijinga tu ya uongozi wa TBC na serikali kulifungamanisha hili taifa na hizi dini mbili Uislam na Ukristo ?
Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?
Na hawa waislam na wakristo kwani wao wenyewe hawana television zao binafsi za kurusha maudhui yao huko na sio kwenye television ya umma ?
Wakristo na waislamu ni moja ya sehemu ya huo umma.Ile ni TV ya umma ingekuwa ya waislam au wakristo nisinge leta lalamiko langu hapa
Chadema wanatumia Upendo TVKwani umelazimishwa kuangalia mkuu?
akili ipo, wachache pia wapate coverage ya ibada zaoUnajua idadi ya Waislamu Nchi nzima na unajua idadi ya Wasabato Nchi nzima na hao Wakatoliki unajua idadi yao Nchi nzima ni kiasi gani? Kuna sehemu ukienda hukuti msabato hata mmoja nenda Kilwa hapo ukajione wewe unafananisha million 40 na laki 3 una akili?
Ni moja ila sio wote ?Wakristo na waislamu ni moja ya sehemu ya huo umma.
Lianza lalamiko kwanza kwa uongozi husika kabla ya kufika hatua hiyoPeleka shauri mahakamani
Million 40 huwezi ukalinganisha na laki 3, ile sio television ya Wasabato kuna Upendo TV wakaangalie huko si wapo laki 3 Nchi nzima ukalinganisha na Wakatoliki na Waislamu ambao wapo zaidi ya Million 40 Nchi nzima?Wakristo na waislamu ni moja ya sehemu ya huo umma.
wapentekoste wameongezeka elewa hilo, tuone ibada zaoUnajua idadi ya Waislamu Nchi nzima na unajua idadi ya Wasabato Nchi nzima na hao Wakatoliki unajua idadi yao Nchi nzima ni kiasi gani? Kuna sehemu ukienda hukuti msabato hata mmoja nenda Kilwa hapo ukajione wewe unafananisha million 40 na laki 3 una akili?
Sasa kama akili huna utachangia nini sasa zaidi ya kujiaibisha tu ?!.Ngoja nipite kimya maana sisi watu wengine hatuchelewi kutukana tunapokutana na watu waliojaza kinyesi kwenye UBONGO,
Ndio maana mmepewa Uhuru wa kua na TV yenu Upendo TV fungua kula tenzi za Rohoni siku iende kwani lazima ufungue TBC?akili ipo, wachache pia wapate coverage ya ibada zao
🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽Sasa kama akili huna utachangia nini sasa zaidi ya kujiaibisha tu ?!.
Umeamua uache akili mfukoni ? PoleAchana na king'amuzi cha Star times kina free channel hiyo moja tu mkuu
Kwa hio wanazidi idadi ya Waislamu na Wakatoliki Nchi nzima? 💩wapentekoste wameongezeka elewa hilo, tuone ibada zao