Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Basi acha wao wafanye wanavyoona inafaa wanaoangalia TBC sio wapagani wasio na dini na Majority ni Waislamu na Wakatoliki ndio maana vipindi vyao vinarushwa kila siku za ibada zao Ijumaa na Jumapili,Sitaki dini yoyote ile hiyo sio kazi ya television ya taifa kutangaza dini za watu ziachiwe taasisi husika