Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe akili huna mchungaji gani kanituma unafikiri kila mtu humu ni mpumbavu kama wewe ?!.Kupambu Mchungaji wako alikutuma kamwambie TBC sio ya Kanisa lake uchwara lililoanzishwa na familia
Sio wananchi wote.ndio maana suala la sensa za kidini huyo huyo Nyerere alikataa"Serikali yetu haina dini ila watu wake ndiyo wana dini zao"
Hayati Mwl. J. K. Nyerere
Unajibiwa kufuatana na hoja yako uliyoiweka mezani,kama ni ya kipumbavu unajibiwa kipumbavu na kama ni ya kujenga unajibiwa ili kuiboresha.Wewe akili huna mchungaji gani kanituma unafikiri kila mtu humu ni mpumbavu kama wewe ?!.
Umeelewa kwanini nimemnukuu?Sio wananchi wote.ndio maana suala la sensa za kidini huyo huyo Nyerere alikataa
Kwani zengine waamini wake hawatoi hela ?Walokole na wasabato wapiga hela tu
Nenda kwa Mchungaji aliekutuma kamwambie ajenda yake imefeli TBC haiwezi ikarusha masomo yake yanayotangazwa eti anaanzisha kikundi cha ibada na familia yake mnaita KanisaWewe akili huna mchungaji gani kanituma unafikiri kila mtu humu ni mpumbavu kama wewe ?!.
Niakujibu kutokana na uchache wa akili zakoUnajibiwa kufuatana na hoja yako uliyoiweka mezani,kama ni ya kipumbavu unajibiwa kipumbavu na kama ni ya kujenga unajibiwa ili kuiboresha.
Wananchi waliosimika hii siyo akina Gwajima,Mwamposa na makanisa yao ya kihuni huni bali ni watu ambao utawala wa dini zao ulisimikwa na Mungu mwenyewe.Sio wananchi wote.ndio maana suala la sensa za kidini huyo huyo Nyerere alikataa
Nimeelewa ulicho nukuuUmeelewa kwanini nimemnukuu?
Wewe ni mpumbavu. KwaheriNenda kwa Mchungaji aliekutuma kamwambie ajenda yake imefeli TBC haiwezi ikarusha masomo yake yanayotangazwa eti anaanzisha kikundi cha ibada na familia yake mnaita Kanisa
Sawa mwenye akili nyingi endelea labda utashinda.Niakujibu kutokana na uchache wa akili zako
Hamia Burundi ambako hakuna TBC.Binafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC
Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ?
Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe kupitia television ya umma au ni tabia ya kijinga tu ya uongozi wa TBC na serikali kulifungamanisha hili taifa na hizi dini mbili Uislam na Ukristo ?
Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?
Na hawa waislam na wakristo kwani wao wenyewe hawana television zao binafsi za kurusha maudhui yao huko na sio kwenye television ya umma ?
Mwambie huyo Mchungaji aliekutuma kamwambie ajenda yake imefeli aendelee na TV yake YouTube aachane na TBCWewe ni mpumbavu. Kwaheri
Mahubiri ya walokole ni zaidi ya masaa mawili hapo bado kusifu na kuabuduKwani zengine waamini wake hawatoi hela ?
Tuachane na hilo turudi kwenye uzi.
Wananchi wote ndio wanaoifanya hiyo TBC kuendelea kuwepo sifikiri kama unafahamu hili kwa jinsi ulivyo mpumbavuWananchi waliosimika hii siyo akina Gwajima,Mwamposa na makanisa yao ya kihuni huni bali ni watu ambao utawala wa dini zao ulisimikwa na Mungu mwenyewe.
Wewe mwanamke hujapata tu bwana la kukutuliza ?Hamia Burundi ambako hakuna TBC.
Hiyo sio kazi ya serikali kupima urefu wa mahubiri na sio jukumu lake kutangaza dini ya mtu yoyote yule. Kile wafanyacho TBC ni upumbavuMahubiri ya walokole ni zaidi ya masaa mawili hapo bado kusifu na kuabudu
Watarushaje taarifa za habari,kilimo,vipindi vya mama saa100,michezo nk?
Mahubiri ya wakatoliki na waislam ni short na clear Cha msingi wamezingatia dini zote mbili