TBC ni TV ya waislam na wakristo wakatoliki?

TBC ni TV ya waislam na wakristo wakatoliki?

Binafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC

Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ?

Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe kupitia television ya umma au ni tabia ya kijinga tu ya uongozi wa TBC na serikali kulifungamanisha hili taifa na hizi dini mbili Uislam na Ukristo ?

Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?

Na hawa waislam na wakristo kwani wao wenyewe hawana television zao binafsi za kurusha maudhui yao huko na sio kwenye television ya umma ?
hapana mkuu huwa naona Dini zote wanaonyeshwa..

Ni.ewahi kushuhudia wakionesha Wasbabto,Walutheri (KKKT), Anglikana, Morovian,Roman catholic na Madhehebu wengine...

Mayb kama wewe ni mlokole sijawahi kuona wakionyesha kwa sababu sidhani kama wataweza kuonyesha kelele
 
Mahubiri ya walokole ni zaidi ya masaa mawili hapo bado kusifu na kuabudu
Watarushaje taarifa za habari,kilimo,vipindi vya mama saa100,michezo nk?
Mahubiri ya wakatoliki na waislam ni short na clear Cha msingi wamezingatia dini zote mbili
Na sio masaa tu pia yana kelele nyingi husukii hata wana sema nini zaidi ya kukaza sauti na kuruka ruka kama wamepandwa na wazimu..

Wanaonyeshwa wale wenye heshima tu na Maadili kama kina Mwakasege na kulola (walojole wanaohubiri kwa Taratibu)
 
Binafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC

Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ?

Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe kupitia television ya umma au ni tabia ya kijinga tu ya uongozi wa TBC na serikali kulifungamanisha hili taifa na hizi dini mbili Uislam na Ukristo ?

Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?

Na hawa waislam na wakristo kwani wao wenyewe hawana television zao binafsi za kurusha maudhui yao huko na sio kwenye television ya umma ?
Labda wasiokua na dini bado hawajawasilisha maudhui ya wanachotaka kuwahubiria wasio kua na dini wenzao. Ni vizuri kujiridhisha...

Lakini kwa sasa waisilamu bila kujali madhehebu na mirengo yao na wakristu bila kujali madhehebu na mirengo yao ndio waliojitokeza na kuomba muda wa kurusha maudhui ya dini zao kwa awamu kupitia chombo hicho muhimu kabisa cha Taifa...

Na kwasabb muda wa ibada za kiislamu na kikrusto ni tofauti, inakua rahisi kuwapangia muda mzuri kwa wao kurusha maudhui yao.
 
Wananchi wote ndio wanaoifanya hiyo TBC kuendelea kuwepo sifikiri kama unafahamu hili kwa jinsi ulivyo mpumbavu
Unafikiri TBC ilishuka tu mbinguni au ilitengenezwa na wewe mpumbavu?Kuna watu waliisimika na ndiyo maana ni chanzo cha amani yetu kama unataka mashoga wakahubiri TBC basi umeshindwa.
 
hapana mkuu huwa naona Dini zote wanaonyeshwa..

Ni.ewahi kushuhudia wakionesha Wasbabto,Walutheri (KKKT), Anglikana, Morovian,Roman catholic na Madhehebu wengine...

Mayb kama wewe ni mlokole sijawahi kuona wakionyesha kwa sababu sidhani kama wataweza kuonyesha kelele
Nani amekumbia dini za hili taifa ni Ukristo na Uislam ?

Na kwa nini serikali ibebe jukumu la kutangaza dini kinyume na katiba ?!.
 
Wewe mwanamke hujapata tu bwana la kukutuliza ?
Ndugu nimekukosea nini hadi unanitukana bila kosa? Hujui kama mimi ni baba yako wa kambo? Unawezaje kutukana utamu wa mama yako bila sababu? Itakuwa aibu kubwa ukipata laana ya baba wa kambo. Jiheshimu
 
Na sio masaa tu pia yana kelele nyingi husukii hata wana sema nini zaidi ya kukaza sauti na kuruka ruka kama wamepandwa na wazimu..

Wanaonyeshwa wale wenye heshima tu na Maadili kama kina Mwakasege na kulola (walojole wanaohubiri kwa Taratibu)
Wewe ni daktari au mwendawazimu ?
 
Labda wasiokua na dini bado hawajawasilisha maudhui ya wanachotaka kuwahubiria wasio kua na dini wenzao. Ni vizuri kujiridhisha...

Lakini kwa sasa waisilamu bila kujali madhehebu na mirengo yao na wakristu bila kujali madhehebu na mirengo yao ndio waliojitokeza na kuomba muda wa kurusha maudhui ya dini zao kwa awamu kupitia chombo hicho muhimu kabisa cha Taifa...

Na kwasabb muda wa ibada za kiislamu na kikrusto ni tofauti, inakua rahisi kuwapangia muda mzuri kwa wao kurusha maudhui yao.
Kwa nini TV ya taifa inabeba jukumu la kutangaza dini za watu. Hizo taasisi husika hazina majukwaa ya kufanya hayo mambo yao ?
 
Unafikiri TBC ilishuka tu mbinguni au ilitengenezwa na wewe mpumbavu?Kuna watu waliisimika na ndiyo maana ni chanzo cha amani yetu kama unataka mashoga wakahubiri TBC basi umeshindwa.
Uliisimika wewe na wanaishi kwa kodi yako pekee wewe mwendawazimu ?
 
Ndugu nimekukosea nini hadi unanitukana bila kosa? Hujui kama mimi ni baba yako wa kambo? Unawezaje kutukana utamu wa mama yako bila sababu? Itakuwa aibu kubwa ukipata laana ya baba wa kambo. Jiheshimu
Wewe mwanamke bado hujapata tu bwana la kukutuliza ? Ukipata useme sio kusumbua wanaume humu
 
Lakini hiyo hiyo serikali ya Tbc si imewapa vibali vya kurusha matangazo yenu ya kilokole si mna media ambazo mnaweza kutamka kwa makelele usiku kucha?
Hamjazuiwa bana Tbc kama inazingatia muda wa ratiba za vipindi vyake
 
Uliisimika wewe na wanaishi kwa kodi yako pekee wewe mwendawazimu ?
Kulipa kodi si kigezo cha kupindua yaliyosimikwa na Waasisi wa nchi hii.Ulete vurugu na maadili mabovu nchini kisa unalipa kodi? Huu ni zaidi ya uwenda wazimu.
 
Lakini hiyo hiyo serikali ya Tbc si imewapa vibali vya kurusha matangazo yenu ya kilokole si mna media ambazo mnaweza kutamka kwa makelele usiku kucha?
Hamjazuiwa bana Tbc kama inazingatia muda wa ratiba za vipindi vyake
Asante kwa majibu mazuri yaliyotukuka,vyombo vya habari ni vingi nchi nzima yeye bado anahangaika na TBC.
 
Lakini hiyo hiyo serikali ya Tbc si imewapa vibali vya kurusha matangazo yenu ya kilokole si mna media ambazo mnaweza kutamka kwa makelele usiku kucha?
Hamjazuiwa bana Tbc kama inazingatia muda wa ratiba za vipindi vyake
TV ya taifa kazi yake sio kutangaza dini za watu. Wewe ni mpumbavu ?
 
Kulipa kodi si kigezo cha kupindua yaliyosimikwa na Waasisi wa nchi hii.Ulete vurugu na maadili mabovu nchini kisa unalipa kodi? Huu ni zaidi ya uwenda wazimu.
Wewe ndio muasisi wa upumbavu au ?
 
Back
Top Bottom