TBC ni TV ya waislam na wakristo wakatoliki?

TBC ni TV ya waislam na wakristo wakatoliki?

Lianza lalamiko kwanza kwa uongozi husika kabla ya kufika hatua hiyo
Serikali lazima itumie busara, kuna baadhi ya madhehebu mafundisho na ibada zao yamejaa chuki na kashfa kwa dini/madhehebu mengine. Mfano ni wasabato ambao mafundisho yao yote ni dhidi ya ukatoliki nk.
 
Binafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC

Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ?

Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe kupitia television ya umma au ni tabia ya kijinga tu ya uongozi wa TBC na serikali kulifungamanisha hili taifa na hizi dini mbili Uislam na Ukristo ?

Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?

Na hawa waislam na wakristo kwani wao wenyewe hawana television zao binafsi za kurusha maudhui yao huko na sio kwenye television ya umma ?
Wewe ni mpumbavu tu mnaanzisha makanisa yenu kama sacoss kwa sababu ya tamaa zenu za kutajirika kupitia watu waliomwasi Mungu kwa sababu tu ya elimu na ukwasi wa mali.Kumbuka kipindi TBC wanaanzishwa Roma Catholic na Waislam walikuwepo na ndio chanzo cha ukuaji wa hiyo taasisi.Usilaumu bali peleka muswada ili ombi lako likubaliwe usituke kutufanya wajinga.
 
Kanisa katoliki ndio linaitawala Tanzania kwa hivyo ni muhimu maudhui yake kurushwa kwenye televisheni ya taifa ili kuteka nyara fikra na kubadili mawazo ya wana wa nchi hii yawe katika mlengo wanaoutaka wao ni kama tu maudhui ya CCM yanavyopewa air time ya kutosha TBC

Tumsifu yesu Kristo @
Hayo maudhui yao warushe kwenye TV yao hakuna atakaye lalama
 
Serikali lazima itumie busara, kuna baadhi ya madhehebu mafundisho na ibada zao yamejaa chuki na kashfa kwa dini/madhehebu mengine. Mfano ni wasabato ambao mafundisho yao yote ni dhidi ya ukatoliki nk.
Kazi ya serikali sio kutangaza dini yoyote ile hiki wanacho fanya TBC ni upumbavu wa kiwango cha juu
 
Wewe ni mpumbavu tu mnaanzisha makanisa yenu kama sacoss kwa sababu ya tamaa zenu za kutajirika kupitia watu waliomwasi Mungu kwa sababu tu ya elimu na ukwasi wa mali.Kumbuka kipindi TBC wanaanzishwa Roma Catholic na Waislam walikuwepo na ndio chanzo cha ukuaji wa hiyo taasisi.Usilaumu bali peleka muswada ili ombi lako likubaliwe usituke kutufanya wajinga.
Ndio Mimi ni mpumbavu ambae siwezi kukubali kuona kazi ya kutangaza dini inafanywa na serikali kupitia television ya taifa
 
Ndio maana mmepewa Uhuru wa kua na TV yenu Upendo TV fungua kula tenzi za Rohoni siku iende kwani lazima ufungue TBC?
Hao ni walutheri na wanarusha ibada zao tu, wengine kama kina katunzi wa EAGT wana vipindi vyao huko ila sio EAGT yote
 
Binafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC

Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ?

Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe kupitia television ya umma au ni tabia ya kijinga tu ya uongozi wa TBC na serikali kulifungamanisha hili taifa na hizi dini mbili Uislam na Ukristo ?

Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?

Na hawa waislam na wakristo kwani wao wenyewe hawana television zao binafsi za kurusha maudhui yao huko na sio kwenye television ya umma ?
Hapo chuki yako kuubwaa ni uislam
 
Kwanini mnapenda kufananisha Uislam na Ukatoliki? Hamuwezi kutaja Ukatoliki bila uislamu? Acheni kuchanganya maji na mafuta
 
Wewe ni mpumbavu tu mnaanzisha makanisa yenu kama sacoss kwa sababu ya tamaa zenu za kutajirika kupitia watu waliomwasi Mungu kwa sababu tu ya elimu na ukwasi wa mali.Kumbuka kipindi TBC wanaanzishwa Roma Catholic na Waislam walikuwepo na ndio chanzo cha ukuaji wa hiyo taasisi.Usilaumu bali peleka muswada ili ombi lako likubaliwe usituke kutufanya wajinga.
Moja ya nyuzi zake humu jamvini Taifa linaloona Urais ni kupokezana vijiti baina ya wakristo na waislam ni taifa la wajinga
 
Hao ni walutheri na wanarusha ibada zao tu, wengine kama kina katunzi wa EAGT wana vipindi vyao huko ila sio EAGT yote
Sasa unalia lia nini Mzee wangu? Idadi yenu ni ndogo wao hawawezi wakarusha kipindi kitazamwe na watu laki 1 kati ya million 60 huo ni upuuzi
 
Umeongea jambo la maana sana. TBC wana madhehebu yao mawili ktk dini mbili. 1. Waislamu (). 2. Wakristo (Roman Catholic). JAMBO HILI SIYO SAWA.
 
Ndio maana imeitwa Televisheni ya Taifa, inatangaza pande zote mbili, ikikuboa angalia televisheni zingine, serikali haina dini, wangekuwa wanatangaza dini moja ingekuwaje?
 
Back
Top Bottom