TBC ni TV ya waislam na wakristo wakatoliki?

Tusome wakiyapa air time madhebu yote Kuanzia walokole mpaka ma budda itachukua muda gani,kutakua na taarifa ya habari kweli na ziara mbalimbali za kiserikali zinazorushwaga mubashara?
Kila Dhehebu na siku yake.
 
Wewe ni mjinga,hatuachi kukuelewesha,kwa nini Mali ya umma itumike kuhubiri dini mbili tu,mbona wahindi,wapagani dini zao hazitangazwi kwenye vyombo vya umma
Mchungaji wako ndio kakutuma useme hivyo?
 
Siwezi kulalamika maana alishawahi kufuatilia mtu akaambiwa nafasi hata kwa wasabato ilikuwaga ipo Jumamosi sema viongozi na watu wa kufuatilia ndio walikuwa butu. Sijui siku hizi.
 
Jamaa una moyo, tbc nayo ni tv?
 
Ni dini mbili kubwa.
Nyingine ni copy tu na za mchongo.
 
Waislamu na wakatoliki ni sehemu ya umma, shida iko wapi kwani
 
Hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…