Kila Dhehebu na siku yake.Tusome wakiyapa air time madhebu yote Kuanzia walokole mpaka ma budda itachukua muda gani,kutakua na taarifa ya habari kweli na ziara mbalimbali za kiserikali zinazorushwaga mubashara?
Hakuna madhehebu ya kiisalmu inayoitwa Answar, hiyo NGO ya madhehebu ya suniWaislamu wa Shia na Answar nao watalalamika!
Wewe ni mjinga,hatuachi kukuelewesha,kwa nini Mali ya umma itumike kuhubiri dini mbili tu,mbona wahindi,wapagani dini zao hazitangazwi kwenye vyombo vya ummaNdio ulivyotumwa na Mchungaji wako?
Hadi wahindu na wapaganiKila Dhehebu na siku yake.
Mchungaji wako ndio kakutuma useme hivyo?Wewe ni mjinga,hatuachi kukuelewesha,kwa nini Mali ya umma itumike kuhubiri dini mbili tu,mbona wahindi,wapagani dini zao hazitangazwi kwenye vyombo vya umma
Kwa kuwa padre wako kakutuma kutetea hapa unadhani kila mtu katumwa!?Mchungaji wako ndio kakutuma useme hivyo?
Kumbuka Sasa basi km ni hivyo inama Nikusweke' maana hujielewiKwa kuwa padre wako kakutuma kutetea hapa unadhani kila mtu katumwa!?
Acheni kujiegemeza serikalini,hubirini dini yenu kwa jasho lenu kenge nyieKumbuka Sasa basi km ni hivyo inama Nikusweke' maana hujielewi
Jamaa una moyo, tbc nayo ni tv?Binafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC
Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ?
Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe kupitia television ya umma au ni tabia ya kijinga tu ya uongozi wa TBC na serikali kulifungamanisha hili taifa na hizi dini mbili Uislam na Ukristo ?
Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?
Na hawa waislam na wakristo kwani wao wenyewe hawana television zao binafsi za kurusha maudhui yao huko na sio kwenye television ya umma ?
Inama Nikusweke' fanya harakaAcheni kujiegemeza serikalini,hubirini dini yenu kwa jasho lenu kenge nyie
Washakupaka mafuta kwenye kitubio!?..inama wakuswekeInama Nikusweke' fanya haraka
Unaniambia mwenyewe? Haya inama Nikusweke' fanya hivyoWashakupaka mafuta kwenye kitubio!?..inama wakusweke
Ushapakwa mafuta!?Unaniambia mwenyewe? Haya inama Nikusweke' fanya hivyo
Ndiyo wote ni WatanzaniaHadi wahindu na wapagani
Waislamu na wakatoliki ni sehemu ya umma, shida iko wapi kwaniBinafsi kuna jambo sielewi kuhusu hii television ya umma/taifa- TBC
Hii ni television ya kutangaza dini ya Uislam na Ukristo kupitia ukatoliki au ni television ya umma isiyo na mafungano na dini yoyote ?
Nashindwa kuelewa kwamba hawa waislam na wakatoliki wamelipa pesa ili dini zao zitangazwe kupitia television ya umma au ni tabia ya kijinga tu ya uongozi wa TBC na serikali kulifungamanisha hili taifa na hizi dini mbili Uislam na Ukristo ?
Binafsi naomba kupewa muongozo ni nini kipo nyuma kwa TBC kwa utaratibu huu wa miaka nenda rudi kwa television ya umma kutangaza dini hizi mbili Uislam na Ukristo huku ikitambuliwa kama television ya umma wote ?
Na hawa waislam na wakristo kwani wao wenyewe hawana television zao binafsi za kurusha maudhui yao huko na sio kwenye television ya umma ?
Unavyopenda kupakwa Mafuta mtoto mafuta mafuta,Ushapakwa mafuta!?
Hakikakesho utasema na wasanii wanapaswa kutumia platform zao, keshokutwa utasema walemavu na wenye mahitaji maalumu watumie platform zao pia, kwasabb hii ni Tv ya Taifa....
Hutaishia hapo bado utasema wavuvi, wafugaji na wakulima wasaitumie TV ya taifa kutangaza mipango yao ya kilimo watumie platform zao kufanya mambo yao....
Ukiona wasanii na kazi zao utasema hao nao watafute platform yao hii ni Tv ya Taifa.
Hutaishia hapo utakuja kusema tena wanasiasa wasitumia Tv ya Taifa watumie platform zao huko mtaani....
Baadae utasema watu weusi na weupe kila moja atafute platform zao maana hii ni Tv ya Taifa.....
Ubaguzi hautaishia hapo ntaendelea baada ya muda kidogo...