Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbn hawataweza hata wafanye hayo mchawi siasa za upendeleo, kutetea uovuHUYU MKURUGENZI MPYA KIJANA SIJUI ANAKWAMIA WAPI?...
-->>AONDOE BIASIMENT
-->>PROGRAM ZA VIPINDI TVs,RADIO WAVIPANGILIE UPYA...
-->>WAITE DAMU CHANGA, ZENYE UBUNIFU KAMA GERALD HANDO.
-->>VIPINDI VYAO VILENGE KUNDI LA VIJANA WALIOWENGI KWA SASA...
-->>WAIBE WAFANYAKAZI MAHIRI KUTOKA VITUO VINGINE...
umeonaee..na kukwepa tatizo sio njia ya kutatua tatizo..Tatizo wanalikwepa wakati wanalijua
Wengine kama akina Shaaban Kisu ambaye aliwahi kuteuliwa kuwa DC unatarajia azungumze ukweli CCM ikivurunda? Huwezi choma nyumba ambayo ndani yake ndimo unaishi.Yaani tendo la kuondoa Bunge live ndio ilikuwa kuizika rasmi TBC. Hata waandishi na watangazaji nguli waluobaki TBC ni kwa kuwa wanategemea iko siku Rais atawakumbuka kwa nafasi za UDC/RC.
Vv
Kweli kabisaTbc inazidiwa haya na TV1
Ilitakiwa walinganishe na uhuru,tbc=uhuruunalinganisha tv1 na vitu vya hovyo??
Duh!Wao wenyewe japo ni wafanyakazi wa TBC ila vipindi wanaangalia vya chaneli zingine.
Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC.
Kwa hali hii nani aangalie tbc????????Yan ktk televesion ambazo siwezi kuziangalia ni TBC na Star tv. Tangia wamtoe Tido Mhando wamepotea kabisa. Wanaleta siasa kwenye mambo ya muhimu.Hata ukipita mtaani utaona watu wanaangalia azam na ITV channels tu.
Unaweza kuta kwenye hivyo vikao wanaikwepa sababu halisi!Kwani unafikiri hawajui, wanajua sana ila wanalinda ugali wao