Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais mwenyewe anajuwa wananchi hawaipendi tbc. Ndio maana haitumii.huyo rais na wakubwa wengine serikalini wanatumia mawingu tv, tbc katu sijawasikia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tatizo gani hilo mkuu kwa manufaa ya umaTatizo wanalikwepa wakati wanalijua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]unalinganisha tv1 na vitu vya hovyo??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi Tbc bado inafanya kazi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu author wanatumia camera ya Tecno M3?Sasa mkuu unalinganisha TV1 na TBCCM? Kwanza wana picha mbaya utadhani wanatumia kamera ya Kodak.
Kuna jamaa alimwekea mkewe talaka mezani akamwambia endapo atamkuta anatazama Tbc basi aondoke na talaka yake fastaKifurushi changu kikiisha ndio napataga fursa ya kuangalia TBC na kipindi ninachoangalia ni ubongo kids sitaki mchezo
kuna jamaa mmoja muuza nyama chanika DSM nje la duka lake la kuuza nyama kaandika TBC butchery wateja hawaendi
Huyo shemeji ana akili Sana. Anayetazama TBC zama hizi akapimwe akiliNili.tune kwa bahati mbaya TBC, wife fasta akanambia nitoe, niweke hata channel ya kihindi! Nimekoma.
Nili.tune kwa bahati mbaya TBC, wife fasta akanambia nitoe, niweke hata channel ya kihindi! Nimekoma.