TBC wanaratibu kila kitu kwenye press ya Mbowe why?

TBC wanaratibu kila kitu kwenye press ya Mbowe why?

Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
Nakumbuka Slaa naye ilikuwa hivi hivi wakati anaondoka cdm. Sasa ukweli wa kuwa Mbowe alikuwa nani ndani ya cdm unafahamika. Hongera Lisu kwa kumuumbua Mbowe.
 
Nakumbuka Slaa naye ilikuwa hivi hivi wakati anaondoka cdm. Sasa ukweli wa kuwa Mbowe alikuwa nani ndani ya cdm unafahamika. Hongera Lisu kwa kumuumbua Mbowe.
Yaani naona Mwanga mzuri huko mbeleni. Kumbe tulikuwa tunapigwa mabomu tunavunjwa miguu bure kabisa.

Mwamba anatuchora tu. Tuliweka imani kubwa sana juu yake na uongozi wake.
 
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
Huyu Mbowe nilimstukia muda mrefu toka ampokee Lowassa kwa njia ya vodafasta na kumpa nafasi ya kugombea urais kupitia cdm. Nilianza kupiga kelele toka wakati ule kuwa hafai tena kuwa mwenyekiti wa cdm.
Bush Dokta
 
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
Ndio ujuwe wako upande uwo mkuu
 
Back
Top Bottom