Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiahaona kwenye mkutano wa waandishi wa habari kuna hivi hitu viwili, 1. TCB 2. Balile, basi uwe na uhakika kwa 100% huo mkutano una maslahi kwa CCM.Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
tumedanganyika vya kutosha leo ndio tutajua ukweli wa demokrasia nchiniToka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
Pole Sana never trust anyoneYaani naona Mwanga mzuri huko mbeleni. Kumbe tulikuwa tunapigwa mabomu tunavunjwa miguu bure kabisa.
Mwamba anatuchora tu. Tuliweka imani kubwa sana juu yake na uongozi wake.
Kweli kabisa ! Na hasa hasa kwenye Afrika politics !Pole Sana never trust anyone
🤣🤣🤣VyawaHiyo ni michezo tu siasa ya bongo ni michezo lisu katuonesha kuwa hata chadema Kuna vyawa pia
🤣 🤣 🤣God is Revealing kila kitu. Chadema kinaenda kuwa chama bora sana.
Ama kweli !Mbowe ni tapeli wa siku nyingi mno sio leo
Yes.haya hivyo mbowe hatashindwa chadema hicho ni chama chake,chadema ni chaggadema
Na ni wengi kweli 🙌 !KAZI ya msingi ya upinzani ni kuisaidia CCM kutawala daima na sio kushika Dola!!
Mbowe ni kada wa ccm alie upinzani kuratibu hilo na sio yeye wapo wengi!
Anajasiria siasa mwamba .Mbowe ni tapeli wa siku nyingi mno sio leo
Mbowe anatumika vibaya na conservatives wanaotaka katiba mbovu iliyopo iendlee kutumika na Lisu ni mwiba Kwa watawala hao!!Na ni wengi kweli 🙌 !