TBC wanaratibu kila kitu kwenye press ya Mbowe why?

TBC wanaratibu kila kitu kwenye press ya Mbowe why?

Endelea kupiga kelele vyeo wanapewa wenzio wewe unabweka tu humu Kila siku wasindikize wenzio
nitaviweka wap sasa gentleman 🤣

ni vizuri kuridhika na sio kua na tamaa kama kibaraka anaetamani kila cheo 🤣

anakosa vyote sasa 🐒
 
Kwani TBC ni mali ya Nani ? Nadhani kuliko kushangaa pale TBC inapoweka Coverage kuhusu mambo ya kijamii inabidi kuwawajibisha na kuwashurutisha pale wasipofanya hivyo...
Tbc ni tawi la chama kama ilivyo polisi. Je, utawashurutisha kwa mamlaka ipi?
 
Siku alipopokewa Lowassa... ndio nikagundua tuna upinzani uchwara.
 
Tbc ni tawi la chama kama ilivyo polisi. Je, utawashurutisha kwa mamlaka ipi?
Hio ndio dhima ya chombo cha taifa cha habari na taasisi ya Ulinzi ? Sababu kama sivyo na hawafuati utaratibu wa kwenye mkataba wa mabosi wao (wananchi) issue ni kuhoji na kuwaforce wafuate na sio kushangaa wanapofuata...
 
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
Ni vyepesi kusema Mbowe yuko kazini. Tena kazi muhimu. Ukiwa na miwani ya mbao huwezi kusoma au kuona
 
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
Jambo lake lilikuwa Lina public interest na ukumbuke Mbowe ndio aliingiza Chadema kwenye maridhiano,why TBC wasiratibu?

Mtu kama Lisu amekuwa hataki hayo maridhiano na amekuwa anakejeli ,unategemea TBC waende kwenye mkutano wake?

Mwisho vichaa wataenda Kwa vichaa wenzao,Lugha ya Mbowe haifanani na ya Lisu na ndio maana hakuna Kiongozi Huwa anakuwa jirani au kuwasiliana na mtu kama Lisu
 
Nakumbuka Slaa naye ilikuwa hivi hivi wakati anaondoka cdm. Sasa ukweli wa kuwa Mbowe alikuwa nani ndani ya cdm unafahamika. Hongera Lisu kwa kumuumbua Mbowe.
Mimi nikishaona mtu anaungwa mkono na majizi ya kura lazima nimtilie shaka.

Hii support Mbowe anayopata kutoka kwa majizi ya kura walikuwa wapi kuitoa miaka 10 nyuma?

Kwamba Mbowe ni mtu mpya kwao?
 
Nakumbuka Slaa naye ilikuwa hivi hivi wakati anaondoka cdm. Sasa ukweli wa kuwa Mbowe alikuwa nani ndani ya cdm unafahamika. Hongera Lisu kwa kumuumbua Mbowe.
Mwenyekiti kama Mwenyekiti

Rafiki wa Mbowe.jpg
 
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
Wanaongeza kuni Mkuu. Tuko kwenye dunia ya kufa kufaana, usishangae mifupa yako ikatumiwa kama kuni baada ya kifo chako.

Au ikawekwe kwenye chujio la maji ya kule Kanda ya Kaskazini ili kusaidia watu wasioze meno kwa fluoride.

Ndiyo tuko huko kwa sasa.

Ova
 
Hivi kwa mtiririko wa kuanzia waasisi wa chadema,wazazi wa mbowe na ukaribu na familia ya Nyerere mnadhani kabisa mbowe ni mpinzani?
 
Back
Top Bottom