TBC wanaratibu kila kitu kwenye press ya Mbowe why?

TBC wanaratibu kila kitu kwenye press ya Mbowe why?

Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
unawezaje kuandaa press conference ya mkurupukaji Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa mfano?

jitu lipo lipo tu linazurura na standby ticket ya ndege mfukoni,
haijulikani litaongea nini cha maana au litakwea pipa saa ngapi,

press conference kila siku hazina maana yoyote, kichwa wala miguu, unajiandaa vipi sasa gentleman kwa mtu kama huyo wa mambo ya pupa 🐒
 
unawezaje kuandaa press conference ya mkurupukaji Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa mfano?

jitu lipo lipo tu linazurura na standby ticket ya ndege mfukoni,
haijulikani litaongea nini cha maana au litakwea pipa saa ngapi,

press conference kila siku hazina maana yoyote, kichwa wala miguu, unajiandaa vipi sasa gentleman kwa mtu kama huyo wa mambo ya pupa 🐒
Punguza Kisukari
 
Sasa naanza kuamini kwamba
This could be a beginning of the End of Chadema’s era of Chama kikuu cha Upinzani Tanzania !!
Ngoja tuone !
Mimi nilikuwa nafikiri utani Yakhee !
Kumbe This is for real 😳🙄🤦🏽‍♂️
 
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
Kwa maslahi ya chama chao CCM, walikwisha andaa wasifu wa Chadema.
 
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
Tupe link ya TBC wengine tupo mbali sababu ya kazi.
 
Chadema Chama rafiki chini ya Mbowe, wanapitia kipindi kigumu sana, ila all ni all, Tundu Lissu ni muongo sanaaa hasa baada ya kumsikiliza kwa makini sana Wenje ndio nimejua Tundu Lissu ni muongo mkubwa na hana busara hata nukta.
 
Back
Top Bottom