unawezaje kuandaa press conference ya mkurupukaji Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa mfano?Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
TBC huwa hawaendi burebure kwenye mikutano ya upinzaniToka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
Punguza Kisukariunawezaje kuandaa press conference ya mkurupukaji Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa mfano?
jitu lipo lipo tu linazurura na standby ticket ya ndege mfukoni,
haijulikani litaongea nini cha maana au litakwea pipa saa ngapi,
press conference kila siku hazina maana yoyote, kichwa wala miguu, unajiandaa vipi sasa gentleman kwa mtu kama huyo wa mambo ya pupa 🐒
Too late 😂😀🐼🔥Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
Hatimaye mmeujua Ukweli 😂😂Hii imejaa wapumbavu, hata kama kutengeneza movie ndio mjianike hivi?
Ukweli Lazima uelezwe na kusemwa bayana bila kujali mihemko na makasiriko yenu ndugu wadau,Punguza Kisukari
Lini CCM ilishawahi kumuunga mkono Mbowe kama ni kada wao?KAZI ya msingi ya upinzani ni kuisaidia CCM kutawala daima na sio kushika Dola!!
Mbowe ni kada wa ccm alie upinzani kuratibu hilo na sio yeye wapo wengi!
Kwa maslahi ya chama chao CCM, walikwisha andaa wasifu wa Chadema.Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
Kwani Wapi Umekatazwa Au Kuzuiwa Kueleza Ukweli?Ukweli Lazima uelezwe na kusemwa bayana bila kujali mihemko na makasiriko yenu ndugu wadau,
itabidi mzoee tu 🐒
hata mihemko na makasiriko yawe ya kiwango cha juu kupindukia ukweli ukasemwa tu gentleman,Kwani Wapi Umekatazwa Au Kuzuiwa Kueleza Ukweli?
Tupe link ya TBC wengine tupo mbali sababu ya kazi.Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.