TBC wanaratibu kila kitu kwenye press ya Mbowe why?

Angalau sasa watu wameacha kukaza fuvu na kuukubali ukweli
Dj kashachukua advance sasa hivi remote ipo kizimkazi
I feel sorry kwa waliomwaga damu kutetea haki huku wakiamini kiongozi wao mkuu yupo pamoja nao
Rasmi wapenda haki waangalie namna ya kuwa na chama kingine kitakachobeba maono ya watanzania
 
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
Sisi ni FUTUHI
 
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
Kaka unajuaje pengine CCM inaangalia yule mwenye afueni kidogo.
 
Unahasira na mtu aliekuzidi vitu vyote kuanzia umaarufu wa kujilikana Hadi utajiri ukoo wenu wote haufukii hata robo ya utajiri wa lissu endelea kubweka
 
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.

Wanamlinda mwenzao, assetyao, kisiharibike kitu chochote. Unafikiri wanaweza kufanya hivyo kwa press za Lissu pia?
 
Safi sana na Chadema itafia mikononi mwake, hakuna mtanzania tena ataiamini kibakie chama cha viongozi
 
Hahahaha. Hamia huku wakuu.

Ishi kwa amani na utulivu mkubwa sana kwa kumshabikia Rais wako. Achana na itikadi ya vyama vya siasa
 
Unahasira na mtu aliekuzidi vitu vyote kuanzia umaarufu wa kujilikana Hadi utajiri ukoo wenu wote haufukii hata robo ya utajiri wa lissu endelea kubweka
Neema na Baraka za Mungu, hekima na busara vyanitosha gentleman πŸ’
 
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??

Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa

Poleni watanganyika.
Inawezekana ndio wameanzq rasmi ukurasa mpya
 
Uchaguzi huu ni mkubwa sana hivyo lazima nayo ipambane ipate habari .
Wale ambao mnadhani chadema itafarakana kazi mnayo
 
Yule sio levo yako naona imekuchoma na huo ndio ukweli
sina haja ya kua level moja na mtu yeyote sembuse kua kibaraka,

kwamba niache kutumikia wananchi ili niwe kama kibaraka? hiyo ni completely useless πŸ’
 
sina haja ya kua level moja na mtu yeyote sembuse kua kibaraka,

kwamba niache kutumikia wananchi ili niwe kama kibaraka? hiyo ni completely useless πŸ’
Endelea kupiga kelele vyeo wanapewa wenzio wewe unabweka tu humu Kila siku wasindikize wenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…