Sisi ni FUTUHIToka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
Kaka unajuaje pengine CCM inaangalia yule mwenye afueni kidogo.Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
Unahasira na mtu aliekuzidi vitu vyote kuanzia umaarufu wa kujilikana Hadi utajiri ukoo wenu wote haufukii hata robo ya utajiri wa lissu endelea kubwekaunawezaje kuandaa press conference ya mkurupukaji Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa mfano?
jitu lipo lipo tu linazurura na standby ticket ya ndege mfukoni,
haijulikani litaongea nini cha maana au litakwea pipa saa ngapi,
press conference kila siku hazina maana yoyote, kichwa wala miguu, unajiandaa vipi sasa gentleman kwa mtu kama huyo wa mambo ya pupa π
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
Neema na Baraka za Mungu, hekima na busara vyanitosha gentleman πUnahasira na mtu aliekuzidi vitu vyote kuanzia umaarufu wa kujilikana Hadi utajiri ukoo wenu wote haufukii hata robo ya utajiri wa lissu endelea kubweka
Umasikini unakusumbua ndio maana unabweka ovyo kuhusu lissu sio levo yakoNeema na Baraka za Mungu, hekima na busara vyanitosha gentleman π
Inawezekana ndio wameanzq rasmi ukurasa mpyaToka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
Kumbee !Mbowe ni kada wa ccm kazi yake ni luwa neutralize wapinzani
utapata tabu sana gentleman, kubeba gubu moyoni ni utumwa mbaya sana aise dah πUmasikini unakusumbua ndio maana unabweka ovyo kuhusu lissu sio levo yako
Wewe ndio unagubu na lissu yule sio levo yakoutapata tabu sana gentleman, kubeba gubu moyoni ni utumwa mbaya sana aise dah π
mihemko na makasiriko vitakutumikisha mpaka uchakae vizuri sana gentleman πWewe ndio unagubu na lissu yule sio levo yako
Yule sio levo yako naona imekuchoma na huo ndio ukwelimihemko na makasiriko vitakutumikisha mpaka uchakae vizuri sana gentleman π
Huwezi kujua wewe chawa wa Mbowe. Lazima uambiwe ukweli kuwa CCM compromised Mbowe.Lini CCM ilishawahi kumuunga mkono Mbowe kama ni kada wao?
Mnategemea mkimbizi kuwa kiongoziTundu Lissu amekuwa dawa ya uponyaji, ndio maana Mungu alimuepusha na kile kifo.
sina haja ya kua level moja na mtu yeyote sembuse kua kibaraka,Yule sio levo yako naona imekuchoma na huo ndio ukweli
Endelea kupiga kelele vyeo wanapewa wenzio wewe unabweka tu humu Kila siku wasindikize wenziosina haja ya kua level moja na mtu yeyote sembuse kua kibaraka,
kwamba niache kutumikia wananchi ili niwe kama kibaraka? hiyo ni completely useless π