nitaviweka wap sasa gentleman 🤣Endelea kupiga kelele vyeo wanapewa wenzio wewe unabweka tu humu Kila siku wasindikize wenzio
Tbc ni tawi la chama kama ilivyo polisi. Je, utawashurutisha kwa mamlaka ipi?Kwani TBC ni mali ya Nani ? Nadhani kuliko kushangaa pale TBC inapoweka Coverage kuhusu mambo ya kijamii inabidi kuwawajibisha na kuwashurutisha pale wasipofanya hivyo...
Je, kuna tofauti yoyote kati ya kibaraka na chawa?ni vizuri kuridhika na sio kua na tamaa kama kibaraka anaetamani kila cheo 🤣
Hio ndio dhima ya chombo cha taifa cha habari na taasisi ya Ulinzi ? Sababu kama sivyo na hawafuati utaratibu wa kwenye mkataba wa mabosi wao (wananchi) issue ni kuhoji na kuwaforce wafuate na sio kushangaa wanapofuata...Tbc ni tawi la chama kama ilivyo polisi. Je, utawashurutisha kwa mamlaka ipi?
Ni vyepesi kusema Mbowe yuko kazini. Tena kazi muhimu. Ukiwa na miwani ya mbao huwezi kusoma au kuonaToka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
Gentleman,.Je, kuna tofauti yoyote kati ya kibaraka na chawa?
Jambo lake lilikuwa Lina public interest na ukumbuke Mbowe ndio aliingiza Chadema kwenye maridhiano,why TBC wasiratibu?Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hhapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.
Chawa = kibarakaGentleman,.
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na nyumbu wakurupukaji ni kitu kimoja 🐒
relax gentleman,Chawa = kibaraka
So, ukiwa unabwabwaja sijui ooh fulani kibaraka maana yake unajisema wewe mwenyewe
Uwe unatupumzisha kidogo bhasi dogo, dah!relax gentleman,
makasiriko ni utumwa 🤣
Mimi nikishaona mtu anaungwa mkono na majizi ya kura lazima nimtilie shaka.Nakumbuka Slaa naye ilikuwa hivi hivi wakati anaondoka cdm. Sasa ukweli wa kuwa Mbowe alikuwa nani ndani ya cdm unafahamika. Hongera Lisu kwa kumuumbua Mbowe.
Ndio hapo sasa.Mimi nikishaona mtu anaungwa mkono na majizi ya kura lazima nimtilie shaka.
Hii support Mbowe anayopata kutoka kwa majizi ya kura walikuwa wapi kuitoa miaka 10 nyuma?
Kwamba Mbowe ni mtu mpya kwao?
Mwenyekiti kama MwenyekitiNakumbuka Slaa naye ilikuwa hivi hivi wakati anaondoka cdm. Sasa ukweli wa kuwa Mbowe alikuwa nani ndani ya cdm unafahamika. Hongera Lisu kwa kumuumbua Mbowe.
Wanaongeza kuni Mkuu. Tuko kwenye dunia ya kufa kufaana, usishangae mifupa yako ikatumiwa kama kuni baada ya kifo chako.Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe??
Hapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa
Poleni watanganyika.