Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Wanazingua sana,nimehamia mwanahalisi TV. Angalia mwanahalisi TV
Hata hao mwanaHalisi wanakata matangazo, wanaboa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazingua sana,nimehamia mwanahalisi TV. Angalia mwanahalisi TV
Hivi bado mnaangalia hilo lidudu?Kinachofanyika ni kwamba muongeaji akianzankuigusa serikali na taasisi zake wao wanazima matangazo na watangazaji kujitia waongeaji na wachambuzi. Hili nililitegemea
Ndio.... Kodi zetu.Acheni viherehere mshahara mnawalipa nyinyi
Jamaa wajinga sanaa naona mbowe nae wamemkataa
TBC wamepanic hahahaNaangalia TBC 1 hapa.
1.Wanakatakata matangazo ya live kutoka Mbagala.
2.Wanaongea pointless watangazaji wao hapo studio.
3.Wanaonyesha vitoto vidogo vilivyopo mkutanoni.
My take: Chadema wasirudie kuiruhusu TBC 1 kurusha matangazo yao.
TBC kwa maksudi kabisa wanahujumu matangazo ya moja kwa moja ya uzinduzi wa kampeni za urais wa CHADEMA. Mgombea ubunge wa Ilala na Lema walipoanza kushusha nondo tbc wakawa wanajifanya kuanza kujiongelesha ili watazamaji wasisikie kinachoongelewa. Mgombea wa Ilala alianza kumwongelea Magufuli tbc wakajifanya wanajadili. Lema alipoanza kuelezea nchi inaongozwa kama gheto tbc wakahamisha tena.
Sasa hivi mbowe anaongea wamekata TenaKinachofanyika ni kwamba muongeaji akianzankuigusa Serikali na taasisi zake wao wanazima matangazo na watangazaji kujitia waongeaji na wachambuzi.
Hili nililitegemea.
Poor Chadema! Tulioona mbali mapema tuliwashauri muanzishe Tv na redio yenu angalau kwa ajili ya kampeni mkatupuuza. Angalia leo mnaotegemea wawarushe mubashara wanarusha uchambuzi. I feel sorry for you people.Kinachofanyika ni kwamba muongeaji akianzankuigusa Serikali na taasisi zake wao wanazima matangazo na watangazaji kujitia waongeaji na wachambuzi.
Hili nililitegemea.
HawaonyeshwiMbona hamna hata watu jamani
Kwa hiyo umeona mawe yale sio?Mbona hamna hata watu jamani
Yaani acha tu,nimerudi TBC nakuta watangazaji ndo wanaongea,najiuliza kesho Magufuli akiwa anaongea watafanya hivi hivi?Hata hao mwanaHalisi wanakata matangazo , wanaboa sana
Wapuuzi sana yaani Godbless Lema alivyoanza kupiga spana wakaanza na uchambuzi wao wa kipumbavu, nimetafuta link ya chadema ambapo hakuna kukatakata.Kinachofanyika ni kwamba muongeaji akianzankuigusa Serikali na taasisi zake wao wanazima matangazo na watangazaji kujitia waongeaji na wachambuzi.
Hili nililitegemea.