Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kama bado wapo hilo eneo "muwachinje"! Nyama ya paka hao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HatubahatishiMkuu kimenuka asante sana kwa maono ULIONA MBALI SANA
Ndio,wana milki kwa siku ya leo kwa mujibu wa NEC!Chadema wanawatoa TBC kwenye viwanja vya umma kama nani?
Chadema wana milki au mamlaka yoyote kwenye hivyo viwanja?
Hutaki kuambiwa ukweli?😂😂😂Watu nimewakusanya huku guest wanamchungulia mamako ninavyomsasambua!
Hahahaaa...nini maana ya uhuru wa vyombo vya habari mnaolilia kila siku humu? hapo hamna dora mkiishika si ndo hakutashikika aisee?Naangalia TBC 1 hapa.
1.Wanakatakata matangazo ya live kutoka Mbagala.
2.Wanaongea pointless watangazaji wao hapo studio.
3.Wanaonyesha vitoto vidogo vilivyopo mkutanoni.
My take: Chadema wasirudie kuiruhusu TBC 1 kurusha matangazo yao.
Hivi una akili njema weye au unamiliki "mbichwa" wenye chawa tu.Tulia,kunywa maji vuguvugu ili ueleweke.Pussycatdoll kabisa!Chadema wanawatoa TBC kwenye viwanja vya umma kama nani?
Chadema wana milki au mamlaka yoyote kwenye hivyo viwanja?
Chadema wanawatoa TBC kwenye viwanja vya umma kama nani?
Chadema wana milki au mamlaka yoyote kwenye hivyo viwanja?
Unajua maana ya milki? Viwanja hivyo ni mali ya halmashauri na hata ukipewa kufanya shughuli haina maana kwamba umemilikishwa, wenye mamlaka ya kumuondoa yeyote hapo ni halmashauri tu na sio aliazimwa.Ndio,wana milki kwa siku ya leo kwa mujibu wa NEC!
Ombi lako limetekelezwa MKUUFukuzeni hao vibaraka wa CCM
Hasira zenu za kudodewa mkutano mmeenda kuwaangushia TBC?Wameshatoka sasa. Unasemaje?
Nenda kaonge utumbo wako hapo uchezeeeeeChadema wanawatoa TBC kwenye viwanja vya umma kama nani?
Chadema wana milki au mamlaka yoyote kwenye hivyo viwanja?
Kwi Kwi KwiHasira zenu za kudodewa mkutano mmeenda kuwaangushia TBC?