TBC watimuliwa mbio na CHADEMA baada ya kukata mara kwa mara matangazo ya uzinduzi wa kampeni Mbagala Zakhiem

TBC watimuliwa mbio na CHADEMA baada ya kukata mara kwa mara matangazo ya uzinduzi wa kampeni Mbagala Zakhiem

Status
Not open for further replies.
Chadema sisi huku tunaoangalia mkutano wenu hatuwasikii badala yake tunawasikia watangazaji wa TBC 1 wakituhutubia! Waondoeni hapo uwanjani ili wasijijengee sifa kuwa waliutangaza mkutano wenu.
Bora kuwafukuza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa nina mashaka sana kama TBC wataweza kuvumilia na kuruhusu maneno machungu yatakapokuwa yanatolewa, bahati mbaya hofu yangu imekua kweli...
 
Yaani acha tu,nimerudi TBC nakuta watangazaji ndo wanaongea,najiuliza kesho Magufuli akiwa anaongea watafanya hivi hivi?
Hahaha! Watangazaji wanaitumia "live coverage" kama fursa ya kujitangaza. Wanasikika wao tu! Duh!
 
Naona TBccm wanafanya unafiki tuu, hamna hata mantiki ya kurusha kama kila mzungumzaji anapozungumza wanakata na kuanza kuongea pumba zao. Natamani CHADEMA watoe tamko hapo wafungue vifaa vyao wasepe, WAONDOKEEEE HAPO UWANJANI WAACHE HUU UHUNI WANAOFANYA..!!
 
Nadhani mmeipanga makusudi. Mnaongea hatuwasikii wagombea. Sauti zenu zinaziba sauti za wagombea. This is done deliberately
 
Makanisa kama la Gwajima wanaonesha ibada zao live, inakuwaje Chadema wanashindwa kuonesha mikutano yao live bila kutegemea TBC?
 
Kinachofanyika ni kwamba muongeaji akianzankuigusa Serikali na taasisi zake wao wanazima matangazo na watangazaji kujitia waongeaji na wachambuzi.

Hili nililitegemea.
Utafikiri walilazimishwa. Si waweke matangazo mengine tu tujue moja. Hopeless kabisa!!
 
Kinachofanyika ni kwamba muongeaji akianzankuigusa Serikali na taasisi zake wao wanazima matangazo na watangazaji kujitia waongeaji na wachambuzi.

Hili nililitegemea.
Mkuu

Sio TBC tu, utakuja kuona media zote,no one dares to upset the mawe!

Media kama sekta ishakua hijacked na dikteta!

Media ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi,ndio muhimili wa nne wa nchi.

Muhimili wa Bunge ushakua hijacked

Muhimili wa Mahakama ushakua hijacked

Muhimili wa Executive ndio wake hasa

Then Muhimili wa Media tayari siku nyingi ushashikwa pumbu..

Hakuna mwandishi yeyote nchi hii ataweza fichua chochote cha serikali asiwe Azoried

Ni hatari kama media owners,waandishi wa habari ,wachambuzi,etc kila mmoja yuko silenced 100%!

Mwananchi wa kawaida mimi na wewe hatuna effect zaidi ya kuongea malalamiko twitter

Shida ni hawa wataalamu wa habari kuzibwa midomo ambapo sisi wananchi tusiojua lolote ndio tulikua tunawategemea!

Hii ni hatari beyond anything else!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom