TBC yapaswa muwajibike kwa kuruhusu Hotuba ya Slaa inayotetea Ufashisti

TBC yapaswa muwajibike kwa kuruhusu Hotuba ya Slaa inayotetea Ufashisti

Duh alafu bado tunataka Freedom of Speech ?

Issue ni kwamba sio kumruhusu huyo bali na wengine waruhusiwe pia na kuongea kutokana na fikra zao...,

Na sio wakiongea wanajikuta vijijini kwao hawana kazi au hata Nji Jirani kwa Kupewa Kacheo au kutafutiwa kazi Maalumu Ikulu
 
Sema nilichogundua ni kwamba watu wanapenda uhuru wao wa kutoa maoni uheshimiwe ila wao hawawezi kuvumilia wenzao wanapotumia uhuru wao wa kutoa maoni.
 
Umeharibu uliposema Slaa alikuwa katibu mkuu wa chama cha upinzani. Ilipasawa iwe Slaa aliYEwahi kuwa katibu mkuu wa chama cha upinzani akahamia chama tawala na balozi mstaafu.
Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli

Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya

Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua

Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?

Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?

Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?

Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?

TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao
 
Umeharibu uliposema Slaa alikuwa katibu mkuu wa chama cha upinzani. Ilipasawa iwe Slaa aliYEwahi kuwa katibu mkuu wa chama cha upinzani akahamia chama tawala na balozi mstaafu.
Kasema hana chama
 
Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli

Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya

Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua

Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?

Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?

Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?

Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?

TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao

Nimeshangaa Sana. Angejikita kwenye mazuri ya Magufuli na kuachana na mengine.
 
Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli

Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya

Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua

Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?

Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?

Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?

Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?

TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao
Makongamano hayawezi kubadili historia, Magufuli alikuwa kichaa, katili, makabila, muuaji na dikteta, period!
 
Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli

Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya

Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua

Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?

Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?

Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?

Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?

TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao
Lakini unasahau mama Samia ameruhusu uhuru wa kuongea ili mradi huvunji sheria, Slaa ametumia Uhuru wake hata kama kwa maoni yako na yangu ni rubbish

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Dr slaa ni smart anaongea fact

Wasiotaka Dr slaa amlilie magufuli wafanye sherehe kwa kifo chake
Nchi haiendi mbele kwa mwendo wa pole nguvu inahitajika kama kuna vithibitisho vya magu kuwa fashisti waviweke hadharani
Kwa matrioni ya madeni nchi inayoingiza sasa mradi wa bagamoyo na uzandiki wake .wenye mimba twende shule. Kufunga sabaya na makonda jela mbona haya hamtaki yasemwe

Slaa big up
 
Ule wa kumpa Lowassa Go ahead baada ya kumuimba kwa muda mrefu kuwa ni fisadi, haukuwa usaliti??

Ulitaka Slaa akubaliane na mtu ambae amekemea kwa miaka kadhaa? Yeye alionyesha msimamo wake, na hata hivyo baadae huyo Lowassa hakubaki CDM sasa hapo mwenye akili ni nani?

Dhambi ya usaliti itamtafuna Mbowe.

Uko sahihi, ila Slaa hakuondoka cdm kwa sababu ya ujio wa Lowassa, bali aliondoka kwa kuzira baada ya nafasi ya kugombea urais kupewa Lowassa. Kimsingi alitaka yeye ndio awe mgombea wa urais, na ni kweli alistahili. Lakini ukweli unabaki kuwa aliondoka cdm kwa kuzira baada ya nafasi aliyoitaka kupewa mtu mwingine. Hizo nyingine ni mbwembwe tu.
 
Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli

Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya

Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua

Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?

Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?

Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?

Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?

TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao

Hakukumbuka kuongelea wizi kwenye uchaguzi na utambulisho wa ile task force pendwa ya wasiojulikana?

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom