TBC yapaswa muwajibike kwa kuruhusu Hotuba ya Slaa inayotetea Ufashisti

TBC yapaswa muwajibike kwa kuruhusu Hotuba ya Slaa inayotetea Ufashisti

Mag
Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli

Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya

Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua

Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?

Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?

Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?

Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?

TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao
acha ujinga wewe.Magufuli ndiyealiyesema kuwa nikiumwa wambie watanzania niko kuchapa kazi? na wakati kuo yawezekana alikuwa tiari kwenye frigde mortuary.bora ukanyamaza aisee.
 
Sikuwahi kujua kama Slaa ni emptu head namna hii hadi niliposikia leo. Huyu jamaa ni bora alihama CHADEMA. Alikuwa bomu linalosubiri kulipuka.
 
Huoni hata maneno yako yanapwaya hapa? Ni bora kunyamaza katika wakati huu ukweli unapokuwa dhahiri.
 
Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli

Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya

Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua

Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?

Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?

Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?

Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?

TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao
Hicho kizee akili zimelegea.
 
Si mnataka democrasia? Si mnataka uhuru wa maoni? Sasa mmeanza kuchagua watu watoe maoni gani? Mnataka kusikia mnachotaka tu? Mnapigania uhuru gani wa maoni? Vipi mnajua mnapigania nini?
 
Si mnataka democrasia? Si mnataka uhuru wa maoni? Sasa mmeanza kuchagua watu watoe maoni gani? Mnataka kusikia mnachotaka tu? Mnapigania uhuru gani wa maoni? Vipi mnajua mnapigania nini?
Tunakubali ni maoni yake, ni uhuru wake lkn tunayapinga kuwa ni mpotoshaji.... Ni hivyo...

Tatizo liko wapi? Kukubaliana sio lazima, ila kusikilizana ndio muhimu.

Tumemsikia wacha tuchambue maoni yake
 
Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli

Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya

Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua

Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?

Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?

Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?

Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?

TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao
Nimesikia mahali kulikuwa na Kongamano Serena Hotel hapa Dar kuenzi kuwepo fikra za Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere takriban miaka 100 hapa Tanzania tangu mwaka 1922. Kwa jinsi Nyerere alivyokuwa mkweli sidhani kama angekubaliana na hoja ya Slaa. Aidha sidhani kama Nyerere angeruhusu hayo waliyofanya Magufuli, Makonda, Sabaya na wengine bila ama kuwaadabisha au kuachana na CCM maana waliyofanya hayakufuata Katiba wala haikuwa ndiyo maana ya kutaka kujitawala! Kama kweli Slaa anasema Magufuli alikuwa anapendwa na wanyonge na hiyo ndiyo sababu ya kuruhusu jinai basi hajaelewa dhana ya kisiasa iliyomwezesha mtu kama Trump kuchaguliwa Marekani au Uingereza kupitisha Brexit, maamuzi ambayo ingawa wengi ndiyo wameyapitisha lakini kura ilikuwa mawazo ya jadi ya vyama vyote vikuu katika nchi husika ambavyo vimekuwa vikibadilishana kutawala bila kufanya mabadiliko ya msingi kwa wananchi wa kawaida, hususan "middle class". Na akina Magufuli pia wakaja na hoja ya wanyonge na mafisadi ili kuungwa mkono vitendo ambavyo vinaturudisha nyuma kama taifa, kwa mfano kuuwa upinzani! Slaa haoni?
 
Tunakubali ni maoni yake, ni uhuru wake lkn tunayapinga kuwa ni mpotoshaji.... Ni hivyo...

Tatizo liko wapi? Kukubaliana sio lazima, ila kusikilizana ndio muhimu.

Tumemsikia wacha tuchambue maoni yake
Kupingana ni sawa, ila sio kutaka TBC wawajibishwe blah blah! Hoja na uhuru wa maoni uendelee ..
 
Mnataka Demokrasia ya mtu kusema mnachokifurahia tu kimtazamo Wenu 🤣
 
Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli

Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya

Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua

Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?

Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?

Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?

Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?

TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao
Pole Sana Kwa wivu wa kijinga Kwa Dr Slaa
 
Si mnataka democrasia? Si mnataka uhuru wa maoni? Sasa mmeanza kuchagua watu watoe maoni gani? Mnataka kusikia mnachotaka tu? Mnapigania uhuru gani wa maoni? Vipi mnajua mnapigania nini?
Sisi tupo huru kupinga,hasa upotoshaji wa kiwango hiki.
 
Back
Top Bottom