Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Kusema wazi kuwa haujapendezwa na alichokisema ni kujitangaza upande uliopo, mimi sihusiki katika hilo.Kwa hiyo umeamua kunichagulia upade siyo .......!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusema wazi kuwa haujapendezwa na alichokisema ni kujitangaza upande uliopo, mimi sihusiki katika hilo.Kwa hiyo umeamua kunichagulia upade siyo .......!!
Kila la kheri mkuu.Hakuna mahali niliposema hivyo. Labda umechanganya na mleta mada .... nilichouliza ni kama umemsikiliza.
Nitacomment nikisikiliza clip yake ....!!
acha ujinga wewe.Magufuli ndiyealiyesema kuwa nikiumwa wambie watanzania niko kuchapa kazi? na wakati kuo yawezekana alikuwa tiari kwenye frigde mortuary.bora ukanyamaza aisee.Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli
Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya
Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua
Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?
Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?
Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?
Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?
TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao
Sahihi 100%Makongamano hayawezi kubadili historia, Magufuli alikuwa kichaa, katili, makabila, muuaji na dikteta, period!
Hicho kizee akili zimelegea.Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli
Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya
Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua
Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?
Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?
Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?
Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?
TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao
Tunakubali ni maoni yake, ni uhuru wake lkn tunayapinga kuwa ni mpotoshaji.... Ni hivyo...Si mnataka democrasia? Si mnataka uhuru wa maoni? Sasa mmeanza kuchagua watu watoe maoni gani? Mnataka kusikia mnachotaka tu? Mnapigania uhuru gani wa maoni? Vipi mnajua mnapigania nini?
Nimesikia mahali kulikuwa na Kongamano Serena Hotel hapa Dar kuenzi kuwepo fikra za Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere takriban miaka 100 hapa Tanzania tangu mwaka 1922. Kwa jinsi Nyerere alivyokuwa mkweli sidhani kama angekubaliana na hoja ya Slaa. Aidha sidhani kama Nyerere angeruhusu hayo waliyofanya Magufuli, Makonda, Sabaya na wengine bila ama kuwaadabisha au kuachana na CCM maana waliyofanya hayakufuata Katiba wala haikuwa ndiyo maana ya kutaka kujitawala! Kama kweli Slaa anasema Magufuli alikuwa anapendwa na wanyonge na hiyo ndiyo sababu ya kuruhusu jinai basi hajaelewa dhana ya kisiasa iliyomwezesha mtu kama Trump kuchaguliwa Marekani au Uingereza kupitisha Brexit, maamuzi ambayo ingawa wengi ndiyo wameyapitisha lakini kura ilikuwa mawazo ya jadi ya vyama vyote vikuu katika nchi husika ambavyo vimekuwa vikibadilishana kutawala bila kufanya mabadiliko ya msingi kwa wananchi wa kawaida, hususan "middle class". Na akina Magufuli pia wakaja na hoja ya wanyonge na mafisadi ili kuungwa mkono vitendo ambavyo vinaturudisha nyuma kama taifa, kwa mfano kuuwa upinzani! Slaa haoni?Nimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli
Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya
Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua
Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?
Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?
Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?
Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?
TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao
Kupingana ni sawa, ila sio kutaka TBC wawajibishwe blah blah! Hoja na uhuru wa maoni uendelee ..Tunakubali ni maoni yake, ni uhuru wake lkn tunayapinga kuwa ni mpotoshaji.... Ni hivyo...
Tatizo liko wapi? Kukubaliana sio lazima, ila kusikilizana ndio muhimu.
Tumemsikia wacha tuchambue maoni yake
Pole Sana Kwa wivu wa kijinga Kwa Dr SlaaNimeisikiliza hotuba ya Dk Slaa kuhusu Legacy ya Magufuli, sikatai kuwa Magufuli ana mambo mazuri na ana legacy yake inayopaswa kuenziwa, lakini alikuwa na mapungufu mengi ambayo hata wana CCM wenyewe wanakubali, na Rais Samia mabye ndiye mwenyekiti wa CCM na Rais kwa sasa anarekebisha mabaya ya Magufuli
Sasa Dk Slaa alipaswa kujikita kwenye m,azuri ya Magufuli na kuyaacha yale mabaya na sio kulazimisha kutetea mabaya
Kwanza kabisa Slaa anaanza kwa kuilamumu Serikali ni kwa nini ilikaa kimya kuhusu Magufuli kuugua, anailamu serikali ya sasa huku akijua Magufuli na serikali yake ndiyo ambayo ilikuwa ikiendesha mambo kwa usiri na propaganda, Serikali yake tunakumbuka ilivyoingiza propaganda nyingi kwenye ugonjwa wa Covid na waliokuwa wakifariki kwa ugonjwa huo walisemwa wamefariki kwa changamoto za kupumua
Slaa anaenda tena kumtetea Magufuli kuhusu mauaji ya watu, na kusema pia mbona Ulaya watu pia wanauawa, sasa Ulaya watu wakiuawa ndio inakuwa excuse ya kuua?
Slaa pia anatetea uamuzi wa Magufuli kuhusu kubambikiza watu kesi na kusema pia kipindi cha Kikwete kuna watendaji wa vijiji walikuwa wakibambikiza watu kesi, jamani baya linahalalisha baya? ameshindwa kujikita tu kuelezea mazuri badala ya kulazimisha kumsafisha?
Slaa ameonekana pia kuunga mkono uamuzi wa Magufuli kuhusu wanafunzi wanaopatga mimba kurudi shule na kusema hata Ulaya walikuwa wanafanya forced sterlization, sasa inahusiana vipi?
Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Upinzani anasema Magufuli anasemwa alikuwa sio mwanademokrasia lakini alipendwa na wanyonge na hilo ndio la muhimu, kweli? sasa alijiunga na upinzani ya kazi gani kama demokrasia haina umuhimu?
TBC kuweni makini, msomeni Samia kwa sasa anataka nchi yenye amani, siasa safi na maendeleo, ufashiti tulishaachana nao
Sisi tupo huru kupinga,hasa upotoshaji wa kiwango hiki.Si mnataka democrasia? Si mnataka uhuru wa maoni? Sasa mmeanza kuchagua watu watoe maoni gani? Mnataka kusikia mnachotaka tu? Mnapigania uhuru gani wa maoni? Vipi mnajua mnapigania nini?
We mrundi acha kuongea kiswahili, chapa Kirundi chenu, Hakili ndio kitu gani hicho.?achana na hilo zee, hakili halina
Sisi tuko huru kutetea hasa kwenye ukweli kama uliosemwa Msomi Dr SlaaSisi tupo huru kupinga,hasa upotoshaji wa kiwango hiki.
Ukiona mtu anamponda jpm,jiulize sana,Ametumika vya kutosha,aliyemtumia hayupo.
Kuna uwezekano kaishapata fununu mother anamtema,
Analialia nini sasa?,
Dhambi ya usaliti inamtafuna,na mimi naomba iendelee kumtafuna tu period.