Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,977
- 6,635
Uchaguzi wenu mnashindwa na Private Media kwenye Coverage...!Katika kuendeleza kufungua nchi. Waandishi wa TBC1 wapo Washington tayari Kwa ajili ya kuripoti MATOKEO ya uchaguzi Mkuu nchini humo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi wenu mnashindwa na Private Media kwenye Coverage...!Katika kuendeleza kufungua nchi. Waandishi wa TBC1 wapo Washington tayari Kwa ajili ya kuripoti MATOKEO ya uchaguzi Mkuu nchini humo.
Shuka kwenye boda kwanza ndio uandike, hiki ulichoandika hata wewe mwenyewe unakielewa?Posho hamna chochote Kama kwao wameshindwa kutangaza habari za uchaguzi kwa haki huko kinawapeleka Nini.
Mtaaibika yule bibi akiangusha chiniKatika kuendeleza kufungua nchi. Waandishi wa TBC1 wapo Washington tayari Kwa ajili ya kuripoti MATOKEO ya uchaguzi Mkuu nchini humo.
Alafu siku ya uchaguzi mkuu wa Tanzania wanaweka taarab...TBC kuna wapuuzi wengi sana.kwani kuna ubaya gani hata citizen tv, BCC, Al Jazeera, zbc, DW, RT na vituo vinginevyo vya television vikitangaza matokeo ya uchaguzi huo muhimu sana wa marikani mapema wiki kesho?🐒
Tv stations zingine sizitaonyesha gentleman?Alafu siku ya uchaguzi mkuu wa Tanzania wanaweka taarab...TBC kuna wapuuzi wengi sana.
Ukishakuwa expert member na ufahamu wako utaongezekaShuka kwenye boda kwanza ndio uandike, hiki ulichoandika hata wewe mwenyewe unakielewa?
Usipoeleweka unatoa ufafanuzi, expert unatoa mipasho tena mbona unadhalilisha hiyo title?Ukishakuwa expert member na ufahamu wako utaongezeka
Unaifinguaje nchi kwa kuzhiriki kwenda kuangalia
Katika kuendeleza kufungua nchi. Waandishi wa TBC1 wapo Washington tayari Kwa ajili ya kuripoti MATOKEO ya uchaguzi Mkuu nchini humo.
unaniuliza mimi ndo tbc..?Unaifinguaje nchi kwa kuzhiriki kwenda kuangalia