TBC1 kushirikiana na TV1, Kuonesha Bure Kombe la Dunia Russia 2018

TBC1 kushirikiana na TV1, Kuonesha Bure Kombe la Dunia Russia 2018

Mi nataka warushe Bunge tu, world cup na dstv apa inanitosha.
 
kuna ka igizo naangalia hapa muda huu ina scratch kama mtandao wa tigo tuna stream live kupitia tecno p5
 
Michuano ya kombe la dunia itarushwa live kupitia chanell ya taifa kwa kushirikiana na TV1...

Nani kafurahishwa na hili[emoji41] [emoji41]

TBC1 itaonesha bure michuano ya kandanda ya Kombe la Dunia. Michuano hiyo itakayofanyika nchini Rusia itafanyika kwa muda wa mwezi mzima kuanzia tarehe 14 mwezi Juni mpaka tarehe 14 Julai 2018. Serikali kupitia luninga yake ya TBC1 kwa kushirikiana na luninga ya TV1 itaonesha matangazo hayo na kuwa serikali ya kwanza kusini mwa jangwa la Sahara kurusha bure matangazo ya michezo hiyo inayopendwa mno na zaidi ya watu bilioni nne duniani.

Hayo yamejulikana leo hii wakati wa uzinduzi rasmi wa matangazo hayo ambapo mgeni rasmi alikuwa msanii Ali Kiba. Pia katika hafla hiyo alikuwepo waziri michezo Daktari Harrison Mwakembe na mkurugenzi mkuu wa TBC Daktari Ayoub Rioba na wakurungezi wa TVI.
Kwa kweli serikali hii itakuwa inaendelea kutimiza lengo lake la kuwatumikia watanzania walio wanyonge.

Hongera Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari John Magufuli.
Bunge live vipi ??
 
Watakuwa wanachaguaa match awawezi onyeahaaa match zote uwezo huooo awana... Msitudanganye hata kidogo nyie vitonga
 
Aksante Ndugu Rais

Nimeokoa Laki Na elf 9 kwenda kuwalipa Mabepari Na Majambazi wa DSTV

Ingekuwa amri yangu Magu angetawala mpaka afikie Umri wa Mzee Ruksa
pumbavu kabisa..tatizo lako umeangalia leo yako bila kuangalia kesho yako ,ya mtoto wako ,ya mjukuu wako na hata ya kitukuu chako....
 
Aksante Ndugu Rais

Nimeokoa Laki Na elf 9 kwenda kuwalipa Mabepari Na Majambazi wa DSTV

Ingekuwa amri yangu Magu angetawala mpaka afikie Umri wa Mzee Ruksa
Hujalazimishwaa kuwa nayo watu wengine bwana ukute hata huna
 
TBC 1 na TV 1 watakuwa live bila chenga mechi zote 32 mtaziona bure kabisa bila kulipia chochote. Dr Leakey na Mwl Kashasha watakuwepo.

Full burudani

Karibuni sana Russia world cup 2018
Ni mchambuzi mzuri sana ila apunguze Konyagi
 
Back
Top Bottom